Friday, July 12, 2019

JINSI YA KUFANYA ILI MNWANAUME AKUTONGOZE HARAKA

Je umekuwa ukijiuliza kwa nini haukuwi approached na wanawaume kama unavyotaka? Bongo trends imeamua kukuandalia mbinu na maujanja ya kutumia ili uonekane mwanamke ambaye anaweza kufukuziwa na mwanaume kwa urahisi.

Owk....

Kando na itikadi ambazo umekuwa ukifikiria, kuapproachiwa ama kufukuziwa na mwanaume si gemu ya bahati nasimu ambayo mtu anaingojea ijitokezee.

Na pia kando na itikadi nyingi za wanawake wanazozifikia, si lazima ufanye kitendo kikubwa ama cha inadi ili mwanaume aweze kukutongoza.

Ukweli ni kuwa, kama unaielewa akili ya mwanaume na jinsi inavyofanya kazi kabla ya kuapproach mwanamke, unaweza kumfanya mwanaume yeyote kutaka kuongea na wewe dakika tano atakapokuja katika himaya yako.

So mbinu zenyewe ndizo zipi?

Zama nami...

Njia za kujiweka ili mwanaume apate nafasi rahisi ya kukutongoza

Kwanza jiweke nadhifu
Hii ni muhimu katika yote kama wataka mwanaume akutambue. Mwanaume kitu cha kwanza anachokiangalia huwa ni mwonekano wa mwanamke. Mwanaume anapoingia katika chumba, inamchukua sekunde ndogo zana kuamua iwapo anataka kuapproach mwanamke mfani au la.

Kama umevalia vizuri na unapendeza, itarahisisha kazi yako sana.

Pili usionekane kama una shughli
Usijishughlishe sana na simu yako, ama kitabu chako, ama kitu kingine. Unaweza kuwa umeboeka na unajaribu kujiweka buzy, lakini fursa iweza kuwa hivi, kufanya hivyo kunaweza kumfanya mwanaume anayetaka kukuapproach kuona ya kuwa uko buzy sana kiasi cha kuwa atashindwa kukufuata kwanu unaweza usiwe interested na maongezi yake.

Tatu ni kuwa mko ligi moja?
Hii inakinzana na hatua ya kwanza, lakini inaweza kuwa na tatizo iwapo unaoneka kama uko ligi tofauti na mwanaume. Kama utaoneka amakujiweka mtu wa hadhi ya juu wanawake watapenda kukuangalia lakini hawatakuaproach. Hii ni kwa sababu wanaume wengi hawapendi kudhalilishwa wakati wanapoamua kukuapproach....kiufupi ni kuwa ukiwa unavutia kupindukia wanaume watakuogopa.

Lakini tena, kuna wale wanaume ambao wanajiamini kupindukia ambao wanajua thamani ya kukuapproach, nao ni wanaume alfa, wanaume diriki, na pia wale wanaume mapleya.

Kama wataka kuteka atenshen ya mwanaume mzuri wa kawaida lakini anayeogopa kukuapproach, jaribu kutumia mbinu ya kuwa jamili na watu wanaokuzunguka. Huwa inasaidia.

Ujanja wa kumfanya mwanaume aweze kukuakuaproach

1. Jinsi utakavyovalia
Usivalie kana kwamba huna kitu cha kuficha. Utapata atenshen ya kila mtu lakini wanaume ambao wataamua kukuapproach ni wale ambao wanataka kulala nawe kwa usiku mmoja pekee. Enyewe kuvalia kwa kutamanisha kunasaidia kuteka atenshen ya mwanaume, lakini usivuke mipaka ya kawaida.

Kumbuka kuwa si lazima uonyeshe viungo vyako vyote vya mwili ili uweze kuteka macho ya mwanaume. Kama unavutia inatosha kumfanya mwanaume akugundue.

2. Unavyomuangalia
Mchungulie mara moja na nyingine, halafu mwangalie mara kwa mara. Hakikisha ya kuwa haujisahau ukamwangalia sana kupindukia ama atakuona kama wewe ni rahisi wa kuapproach na anaweza kukupuuza.

3. Mitindo ya kumwangalia
Kuna mitindo miwili mikuu ya kumwangalia mwanaume ili kumuonyesha ya kuwa umevutiwa naye. Unaweza kutumia mbinu zote mbili kulingana na vile unataka.

i) Kumwangalia polepole - wakati ambapo unaangalia pande zote, angalia upande wake na uyaangalie macho yake kwa sekunde kadhaa huku ukiweka tabasamu. Halafu pole pole zungusha kichwa chako uangalie kwingine. Mbinu hii ni ya kijasiri ya kumwonyesha mwanaume umevutiwa kwake.

ii) Kumwangalia kwa uharaka - hii ni mbinu ya kumwangalia kwa uharaka. Anza kumuangalia, ukiona kama anataka kukuangalia, ghafla angalia kando halafu utoe tabasamu ukiangalia chini. Mbinu hii inampa confidence na kukuona wewe ukipendeza.

4.Mfanyie kazi iwe rahisi
Inakuwa vigumu kwa mwanaume kumuapproach mwanamke sehemu ambapo yuko kundini na marafiki zake. Kama mawazo yako ni kufuatwa na mwanaume, hakikisha ya kuwa wakati mwingine unajipa time ukiwa pekeako ama zaidi uwe na rafiki yako wa kike mmoja.

5. Sehemu zifaazo
Si kila sehemu ni nzuri kufanya maongezi na mtu. Kama unataka mwanaume akuapproach, chagua sehemu ambayo si kila mtu ataanza kujeuza kichwa chake kutaka kujua ni nini kinachoendelea kati yenu. Sehemu za mkawahawa, supermarket, ama bookshop ni sehemu nzuri zaidi za kukutana na mwanaume kupiga stori.

6. Mpatie nafasi aongee na wewe
Hata kama uko katika group na marafiki zako halafu mwanaume akakugundua, mwonyeshe interest kwa kumuangalia kwa madakika. Ukiona kama yuko tayari kuongea na wewe, unaweza kujitenga na marafiki zako kwa muda. Aidha unaweza kuanza kuzunguka hio sehemu kiasi ama unaweza kujipeleka mahali ambapo itakuwa rahisi kwa mwanaume huyu kuzungumza na wewe.

7. Tabasamu
Onekana jamili, na nafasi ya wewe kufuatwa na wanaume itaongezeka mara dufu. Kupendwa kwa mwonekano wa kwanza ni kama baraka kwa mwanamke yeyote yule ambaye anataka macho ya mwanaume yamwone.

8. Usiboeke
Kuwa mwanamke mwenye furaha na mwenye hisia chanya mahali popote pale utakapokua. Mwanamke mwenye shangwe huvutia mwanaume yeyote yule. Kama utaonyesha chembechembe za kuboeka, mwanaume anayetaka kukuapproach anaweza kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kwani ataona ya kuwa maisha yako huboesha na yasiyo na mwanga.

9. Usiwe mjeuri
Kama wewe ni mjeuri kwa yeyote, aidha weita ama mmoja wa rafiki yako, inaweza kutokea kuwa mwanaume ambaye anapania kukuapproach kusimamisha ari yake. Hakuna mtu anapenda mtu mjeuri, na hakuna mwanaume angependa kuapproach mwanamke ambaye anaweza kumpuuzia ama kumkataa.

10. Usitangamane na wanaume
Hii ni muhimu kwa mwanamke yeyote aelewe. Usiwahi kamwe kutangamana na marafiki zako wa kiume kama unataka kukuwa approached na mwanaume. Haitafanya kazi kamwe.

11. Mwonyeshe kuwa uko intrested
Mwonyeshe kuwa uko interested kwake kwa kutaka kumjulia hali zaidi. Hata kama uko na marafiki zako mnaongea halafu amekaa karibu na wewe, mwangalie iwapo anakuangalia hata kama unawajibu rafiki zako.

12. Onyesha uanawake wako
Mwangalie mara kwa mara, halafu ukishika macho yake, peta nywele zako nyuma ya sikio lako. Inaweza kuonekana kama jambo dogo kwako, lakini kwa mwanaume ni kama kugonga ndipo.

13. Mchokore
Pita mbele yake halafu mwangalie machoni mwake wakati unapompita. Mtese kihisia, ataipenda kuona atenshen yake.

14. Usilazimishe
Utakuwa unajiaibisha iwapo unalazimisha mambo. Wanaume si mabubwi, hivyo ukiwaangalia mara moja na nyingine ama kuwatabamia, wanajua kuwa uko tayari kuapprochiwa.

Ok hizi ni mbinu ambazo unafaa kuzitumia kama unataka mwanaume yeyote yule akunotice ama akufukuzie.

Wednesday, July 10, 2019

SABABU AMBAZO HUCHOCHEA MWANAMKE AKUSALITI


Mapenzi ni matamu ukipata mpenzi mnaependana. Mahusiano mengi huvunjika na chanzo kikuu huwa ni ‘uplayer’ kama ninavyopenda kuuita namba sita mgongoni. Lakini wanaume wengi hujiuliza kwa nini mwanamke wangu hatosheki na mimi. Tatizo litakuwa ni wewe mwanaume ndie unayechangia ama pia labda ni mkewako ambaye ana shida. So leo hapa tumekuja na majibu kamili uzijue kwa nini wanawake wengi huplay wanaume zao.
#1 Tamaa.
Tamaa huvunja mahusiano mengi. Si kila mwanamke anapenda alivyo ilhali wengine wanaweza kuwa wanapenda pesa. Hivyo basi kama wewe ni mwanaume na mfuko wako hauna kitu basi ujue si kila mwanamke anaweza kuishi na wewe. Hivyo basi usitarajie uwe hauna kitu ukadhani kila mwanamke anaweza kuvumilia na hali ulionayo. Mwanamke hutafuta mwanaume atakayetimiza mahitaji yake na wewe uwe tu kama msaada wake.
#2 Mapenzi.
Je wewe uko bora kitandani. Swala hili mara nyingi husumbua sana. Kila mwanamke ana kiwango chake cha kufika kileleni. Mwanaume kama huwezi kumridhisha mkeo kitandani basi jua kuwa kunaweza kutokea matatizo. Wanawake wengine hutafuta wanaume ambao wanaweza kuwaridhisha kitandani na wewe ukawa mwanamke jina tu.
#3 Tabia.
Hapa napo kuna tatizo. Wewe mwanaume tabia zako ni zipi? Huezi tarajia uwe na tabia zinazokera na mimi niwe niko na wewe tu. Ok, sawa pesa unazo sikatai lakini je, mlo wako ukoje? Uvaaji wako ni upi? Mazungumzo yako ni ya aina gani? Tabia ulizo nazo kama ni mbaya hata siwezi kutoka na wewe mbele za watu. Haoa sasa itabidi nikatafute mwenzako ambaye naweza toka out nae.
#4 Distance.
Hii nayo pia huchangia sana wanawake kutokuwa waaminifu. Mapenzi yamenizidia na wewe uko mbali baba nifanyeje? Nitavumilia sawa lakini itafika pahali nitashindwa. Rafiki zangu kwa raha zao na wapenzi wao mimi huku navumilia nitashindwa. Pia hapa si kila mwanamke si mwaminifu. Kuna wengine ambao wanaweza kuvumilia pia. Hivyo basi yategemea na mtu mwenyewe. Lakini distance mara nyingi huvunja mahusiano.
#5 Mawasiliano.
Je wewe hutumia muda mwingi kuwasiliana na mpenzi wako? Waeza pata mwanaume anakaa mwezi mzima bila hata kumjulia hali mpenzi wake. Mawasiliano ni muhimu sana katika maisha ya wapenzi wawili. Ukikaa muda mrefu bila hata kutoa sababu ya kimya chako mwanamke anaweza kufikiria umemuacha.

Saturday, July 6, 2019

JINSI YA KUMPATA UMPENDAE NDANI YA DAKIKA CHACHE


Mara nyingi wengi wa wadada na wakaka wameshindwa kujua au kusoma ishara za pale wanapovutiwa au wanapokuwa wamevutiwa na mtu ambaye kwa Mara ya kwanza wanaweza kujuana na kuwa wapenzi au marafiki.

Hebu fikiria imetokea Mara ngapi kwa baadhi ya wadada au wakaka wakakutana siku ya kwanza na kisha wakaunda mapenzi na wengine hufikia kufanya mapenzi kabisa katika siku ya kwanza tu wanapokutana.
Unadhani ni uchawi?!
Unadhani ni maajabu?!
Usiwaze sana,, Ni jambo la kawaida sana hasa ukijua baadhi ya ishara na kujua kusoma lugha ya matendo ambayo kwa mdada au mkaka mliyeonana nae kwa Mara ya kwanza atakayokuonesha na kisha ukaweza kuongea nae kwa Mara ya kwanza pasipo kutumia maneno. Lugha ya macho au lugha ya matendo ina nafasi kubwa sana katika mahusiano pengine kuliko maneno ya kawaida.
Leo katika post hii nitapenda kuzungumzia suala moja tu la Lugha ya macho na jinsi inavyoweza kumshawishi mwenzio hadi mkaanza kujenga urafiki.
Lugha ya macho ina nafasi kubwa sana hasa pale mnapokutana pengine kuliko maneno yenyewe. Wanasaikolojia wanasema Lugha ya macho ina zaidi ya 70% katika kushawishi na kumfanya mtu aanze kukupenda.
Msichana huanza kuvutiwa na mwanaume ndani ya sekunde kadhaa baada ya kumuona mvulana. Hii humfanya mdada amuangalie mvulana kwa sekunde kadhaa. Ila hapa niweke jambo moja sawa, kwamba msichana huvutiwa na mvulana na humuangalia kwa matamanio ndani ya sekunde chache lakini pia hupoteza mvuto huo ndani ya muda mfupi endapo hakutaonekana jibu lolote kutoka kwa mwanaume. Ikumbukwe kuwa nilikwisha kueleza hapo mwanzo kuwa msichana huvutiwa zaidi na mvulana ndipo huanza kumuangalia, lakini pia ikumbukwe kuwa lugha ya macho huzungumza zaidi kuliko matendo na hapo msichana hutegemea zaidi lugha ya matendo imjibu vilevile kutoka kwa mvulana.
Msichana anapomuangalia mvulana humaanisha kuvutiwa hivyo mvulana hutakiwa kuonesha kwamba amemuona huyo msichana na kumuonesha kwamba anacho kitu pia kwa ajili ya huyo msichana. Mvulana huweza kutabasamu huku akimuangalia huyo binti na hapo huenda akawa ametoa jibu sahihi kwa msichana.
Kama ambavyo post zilizopita tuliona NGUVU YA TABASAMU KATIKA MAHUSIANO unaweza kurejea kujua tabasamu lina nguvu gani katika mahusiano .
Pia ieleweke kwamba msichana huonesha ishara ya kwanza na pia hupoteza mvuto endapo hataona jibu lolote kutoka kwa mvulana. Hivyo Mara umuonapo msichana anatabasamu huku anakuangalia jua dhumuni lake pia unapaswa kujua lugha anayozungumza na mtoto wa kiume unapaswa kujiongeza ili kumfanya azidi kuvutiwa zaidi na wewe.
Kwa Leo naomba kuishia hapo. Endelea kusoma zaidi APP Yetu kwa mambo mbalimbali yatakokupa vitu muhimu katika mahusiano na maisha ya mapenzi kwa ujumla.

SHIDA WANAZOKUMBANA NAZO WANAWAKE WENYE HIPS KUBWA


Wanawake wengi wenye hips , ni wanawake ambao si kwa mwanaume tu hata kwa wanawake wenzie husifia kuwa fulani kajaliwa, ki maumbile, ni kweli wana mvuto wa pekee, humwagiwa sifa nyingi za urembo, lakini pia kwa upande mwingine wa shillingi ni matatizo tupu.

Sifa:


1. Huwatesa sana wakina baba wanapokuwa katika vyombo vya usafiri kama daladala, treni, meli na ngalawa, mababa wengi hujawa na hisia kali za mahaba kiasi kwamba hupata mfadhaiko.

2. Hawana haraka sana kwani mwendo wao, hutembea kwa maringo, hata daladala likisimamia mbali hawawezi kukimbia kuwahi.

3. Hutongozwa wanaume watano kwa siku, hata wanaume wasiposema kitu angalau ukonyeza.

4. Ni wasikivu sana wakati wa kudate maana wengi ni warefu hupenda sana kukuinamia kusikia zaidi uliongealo.
Matatizo.


1. Kwa kuwa huwa wanavutia sana ni rahisi kurubuniwa kwani mwanamke yeye duniani hawezi kutongozwa watu elfu 2000 asimpende mmojawapo.

2. Hawana raha kwani ukodolewa sana macho na watu, si wanawake wala wanaume.

3. Upata magonjwa sana asa fungus kwani sehemu zao za siri hazipati hewa ya kutosha kufatana na kubanana kwa nyama na msuguano kila watembeapo.

4. Wana gharama sana kuwatunza kwa sababu hawatakiwi kutembea kwa muda mrefu kuogopa msuguana hivyo umuoapo ni lazima ughalimike usafiri au unatakiwa kumunulia skin taiti kila mara kwa kuwa zinahariibika muda mfupi sehemu ya mapaja.

FAIDA ZA MCHUZI WA PWEZA


Ni maajabu! Pengine hiyo ndiyo sentensi ya haraka itakayotoka kinywani mwako pindi ukisikia namna minofu na supu ya samaki aina ya pweza vilivyo na umuhimu kwa wanandoa.
Kumekuwa na uvumi mwingi mitaani kuhusiana na samaki pweza, ambaye daima hupatikana baharini na kwingineko kujulikana pia kwa jina la utani la ‘paka bahari’. Wengine huwanasibisha pweza na masuala ya kishirikina kutokana na muonekano wake wa kiwiliwili kidogo na rundo la mikia.
Uchunguzi uliofanywa na Nipashe kwa zaidi ya wiki kupitia mahojiano maalumu na madaktari kutoka taasisi kadhaa zikiwamo za Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam umethibitisha kuwapo kwa faida takribani tisa za supu ya pweza mwilini mwa mwanadamu, hususan kwa wale walio katika ndoa na kina mama wanyonyeshao.
Katika uchunguzi wake huo ambao pia ulihusisha mahojiano na baadhi ya wauzaji na walaji wazuri wa pweza, Nipashe imebaini kuwa samaki huyo amejawa na virutubisho vingi vinavyosaidia kuukinga mwili wa mlaji dhidi ya magonjwa kama kansa.
Aidha, pweza amejawa na virutubisho vinavyosaidia kuongeza ashki na kuboresha tendo la ndoa huku pia minofu ya samaki huyo ikiwa na virutubisho vya kumuwezesha mwanamke kuwa na sifa halisi za ‘ukike’ na pia mwanaume kuwa mwanaume wa shoka.
“Mimi sikuwa mlaji wa pweza hadi pale niliposhauriwa kufanya hivyo ili kuiimarisha ndoa yangu. Na kweli, mlo huu (supu ya pweza) umenisaidia sana kwa sababu najihisi kuwa kama kijana. Furaha yangu katika ndoa imerudi,” alisema mkazi mmoja wa Buguruni jijini Dar es Salaam.
VIRUTUBISHO VYA PWEZA
Kwa nyakati tofauti, madaktari waliozungumza na Nipashe walivitaja baadhi ya virutubisho zaidi ya 12 vinavyopatikana kwenye mlo wa supu au minofu ya samaki aina ya pweza ni pamoja na protini, mafuta (fats), vitamini B12, selenium, madini chuma (ron), shaba na pia vitamini B6.
“Virutubisho vyote hivi vinapatikana kwa kiasi kikubwa kwenye minofu ya pweza na karibu vyote ni muhimu katika mwili wa binadamu,” alisema Dk. Damas Mahenda ambaye ni Mhadhiri Msaidizi wa MUHAS.
“Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa pweza ana faida nyingi. Na kwa ufupi, unaweza kumuelezea pweza kwa kumlinganisha na kifurushi cha virutubisho muhimu vya mwili wa binadamu. Mnofu wa pweza una protini nyingi kuliko wa kuku.
Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa takriban asilimia 10 ya virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini kwa siku hupatikana kwa pweza aliyeivishwa vizuri,” alisema Dk. Mwindah Abdallah wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakati akizungumza na Nipashe juzi.
Akimuelezea zaidi pweza, Dk. Selemani Hassan wa Hospitali ya Wilaya ya Kilolo alisema kuwa samaki wa jamii ya pweza wana faida kubwa mwilini mwa binadamu kwa sababu minofu yao ina virutubisho vya aina nyingi.
“Kuna taarifa nyingi kuhusiana na pweza. Lakini muhimu kuliko yote, na ambayo hutokana na tafiti za kitaalamu, ni kwamba pweza ana manufaa makubwa mwilini. Minofu yake ina virutubisho vingi vinavyohitajiwa mwilini mwa kila mmoja wetu,” alisema Dk. Lugano Mwankemwa ambaye ni Mfamasia katika Hospitali ya Mwananyamala.
Chanzo kingine kinafafanua zaidi kuwa kipande kimoja cha pweza huwa na protini ya kiwango cha juu kwa zaidi ya mara tatu kulinganisha na kipande cha ukubwa sawa cha kuku.
Dk. Emmanuel Mgonja wa hospitali binafsi ya Eden iliyopo Mbagala jijini Dar es Salaam, alisema ulaji wa pweza wenye faida zaidi mwilini unapaswa kuwa walau mara tatu kwa wiki.
“Kwa wiki mlaji wa pweza anatakiwa kula walau mara tatu … lakini ukizidisha siyo mbaya kwa sababu ni chakula cha kawaida,” alisema Dk. Mgonja.
MAAJABU 9
Licha ya pweza kuwa chakula kizuri kinachotumiwa zaidi na watu wa maeneo ya Pwani kama Dar es Salaam, Tanga, Lindi, Mtwara na visiwa vya Zanzibar na Pemba, lakini maajabu yake kuhusiana na namna anavyosaidia kuimarisha afya ya mwili ndiyo huwa gumzo zaidi midomoni mwa wengi.
Katika mahojiano na madaktari waliozungumza na Nipashe, imebainika kuwa virutubisho vya pweza husaidia walau katika maeneo tisa muhimu.
Kwanza, virutubisho vya protini na madini ya selenium ndani ya pweza vinaelezwa kuwa ni baadhi ya vile vinavyosaidia kwa kiasi kikubwa kuwapa nguvu ya tendo la ndoa wanaume na wanawake.
Dk. Mahenda alisema kuwa baadhi ya virutubishi vya pweza husaidia kuwapa uwezo zaidi wanaume kwa kuongeza idadi ya mbegu zao (sperm count) na pia kuwaongezea ashki ya tendo lenyewe.
“Kwa sababu hiyo, supu ya pweza iliyoandaliwa vizuri inaweza kuwasaidia wanandoa katika kukamilisha jukumu lao la unyumba kwa namna bora zaidi,” alisema Dk. Mahenda.
Aidha, Dk. Mahenda aliongeza kuwa faida ya pili ya pweza ni kuwa na virutubisho vinavyosaidia kuimarisha hali ya ‘uanamke’ na ‘uanamume’ kwa watumiaji.
“Kwa kila mwanadamu huwa kuna vichocheo vya mwili vinavyomtofautisha jinsia yake. Pweza wamejawa na aina ya virutubisho ambavyo husaidia kuimarisha vitabia hivi… kwa mfano, mwanaume kuwa na misuli iliyojengeka zaidi kuliko wanawake na hiyo pia ni faida kwa walaji,” aliongeza Dk. Mwindah wa UDOM.
Jambo la tatu, kati ya virutubisho vya pweza vipo ambavyo husaidia mwili kuukinga dhidi ya maradhi ya kansa. Dk. Mwindah alisema kuwa zipo tafiti zinazoonyesha kuwa watu wanaokula sana pweza huwa na uwezekano mdogo wa kupata kansa mbalimbali zikiwamo za midomo, tumbo, utumbo mkubwa, matiti, shingo ya kizazi, na pia kansa ya mapafu.
“Hili pia ni jambo muhimu kwa wanandoa na watu wengine. Aina ya mafuta ya samaki na hasa ya pweza husaidia kuzalishwa kwa kinga dhidi ya maradhi mengi yakiwamo hayo ya kansa,” alisema Dk. Selemani.
Faida ya nne kwa walaji wa pweza, kwa mujibu wa Dk. Selemani, ni kuwa na virutubisho vinavyosaidia kuukinga mwili dhidi ya kupungukiwa kwa uwezo wa ubongo hasa kwa watu wenye umri mkubwa. Tatizo hilo kitaalamu huitwa Alzheimer.
Tano, pweza huwasaidia walaji kukabili athari za maradhi ya pumu. Dk. Mwankemwa alisema kuwa baadhi ya watafiti wamebaini kuwa mtu anayekula sana pweza huwa na uwezekano mdogo wa kusumbuliwa na ugonjwa wa pumu.
Aidha, alisema kuwa watu ambao tayari wana maradhi ya pumu huweza pia kunufaika na virutubisho vilivyomo kwenye minofu ya pweza kwa kuwapunguzia athari zake, lakini kwa shari kwamba wawe mbali na visababishi vingine vya kuibuka kwa athari hizo.
Faida nyingine ya sita wanayoipata walaji wa pweza ni kuhusiana na kuimarisha uwezo wa mwili katika kufanya kazi mbalimbali zikiwamo za mmeng’enyo wa chakula, upumuaji na hata mzunguko wa damu.
Saba, ni faida ya pweza kwa mwili kuhusiana na maradhi ya kifua na upumuaji. Dk. Selemani alisema kuwa baadhi ya virutubisho vilivyomo kwenye mnofu wa pweza ndivyo huusaidia mwili kufanya kazi hiyo ikiwamo kuimarisha kinga zake dhidi ya maradhi.
“Faida nyingine ni kuongeza uzalishaji wa haemoglobin ambazo ni muhimu katika damu. Hili hufanyika kwa sababu pweza ana madini aina ya shaba ambayo ni muhimu kwa kazi hiyo,” alisema Dk. Selemani wakati akieleza faida ya nane ya matumizi ya pweza.
Dk. aliitaja faida nyingine wanayoipata kina mama wanaokunywa supu ya pweza au kula minofu yake kuwa ni kusaidia kuongezeka kwa uzalishaji wa maziwa pindi wanapojifungua.
Faida nyingine kwa wote (wanawake na wanaume) walao pweza mara kwa mara, kwa mujibu wa Dk. Mgonja, ni kuongeza madini joto mwilini.
Inaelezwa vilevile kuwa vipo virutubisho vya pweza husaidia katika kupunguza athari za baadhi ya maradhi ya moyo kwa sababu ya kuwapo kwa kiwango cha mafuta aina ya ‘omega-3 fatty acids’.
“Kwa ujumla, ulaji wa pweza una faida nyingi mwilini. Kwa wanandoa pia ni muhimu zaidi kwa sababu husaidia kujenga afya ya mwili katika kushiriki vyema tendo la ndoa,” alisema dokta Hassan wa Hospitali ya Kilolo.
ATHARI HASI
Licha ya faida nyingi za supu ya pweza na minofu yake mwilini, Dk. Mgonja na wengine waliozungumza na Nipashe, walitahadharisha juu ya athari hasi zinazoweza kujitokeza kwa walaji wakubwa wa pweza.
Mojawapo ya athari hizo ni kushambuliwa na mzio (aleji) na baadhi ya wale wanaokutwa na athari hizi huwa ni wa kundi la damu la ‘ O’
Hata hivyo, ripoti za tafiti nyingine kuhusiana na ulaji wa pweza zinaonya kuwa samaki huyu hapaswi kutumiwa sana na kina mama wajawazito kwa sababu anaweza kusababisha athari zitokanazo na madini ya zebaki ambayo hupatikana pia mwilini mwake, ijapokuwa huwa ni kwa kiasi kidogo.
WAUZA PWEZA
Katika maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam, pweza ni maarufu na mara kwa mara huuzwa mitaani nyakati za jioni. Walaji hupata supu inayonakshiwa kwa ndimu na wengine hula minofu ya kuchemsha au kukaangwa.
Baadhi ya wauzaji wazoefu wa samaki huyo waliiambia Nipashe kuwa wateja wapo wa kutosha na kwamba, tofauti na fikra za wengi kuwa walaji wake wengi huwa ni wanaume pekee, ukweli ni kwamba wanawake pia ni walaji wazuri wa supu ya pweza.
“Tofauti ni kwamba kina mama wengi hununua na kwenda kula nyumbani… wanaume hula hapahapa baada ya kununua vipande au kunywa supu,” alisema mmoja wa wauzaji wa pweza nyakati za usiku katika maeneo ya Buguruni.
Mmoja wa wauzaji wa pweza wabichi katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri, Hemed Byon, alisema kina mama, hasa wenye umri mkubwa, ndiyo wateja wake wakubwa katika eneo hilo.
“Wanawake wengi huja kununua kwa ajili ya matumizi ya waume zao kwa sababu pweza amekuwa akisaidia kuimarisha ndoa kwa kuwapa nguvu wanaume… pia wanawake ni walaji wazuri wa pweza, hasa wale wanaonyonyesha,” alisema Byon, akiongeza kuwa hivi sasa kilo moja ya pweza huuzwa Sh. 5,500 na wakati mwingine huuzwa hadi Sh. 9,500.
Muuzaji mwingine wa pweza wa kukaanga katika eneo la Feri, Richard Pinde, alisema wateja wake wakubwa ni wanawake.
“Wanawake wanapenda pweza wa kukaanga… baadhi husema wazi kuwa husaidia kuwaongezea nguvu ya kuhudumia ndoa zao,” alisema Pinde huku akicheka

Friday, July 5, 2019

JINSI YA KUONGEZA MVUTO WA KIMAPENZI


Kama umeshushwa thamani unakuwa kwenye hatari ya kuachwa. Hata kama mwenzako alikuwa ameshafikiria suala la kuingia kwenye ndoa na wewe lakini kwa sababu ameshakushusha thamani ndoa inaweza kuyeyuka.
Ukiwa kwenye ndoa ni hatari zaidi maana mwenzako hukuchukulia wa kawaida – mazoea huzidi na hapo ndipo uhitaji wa kuwa na mwingine wa pembeni unapoanzia. Haoni cha muhimu tena kwako, ndiyo maana wazo hilo huvamia ubongo wake kwa kasi sana.
Itafikia hatua, kama upo ndani ya ndoa, mwenzako atagoma kuongozana na wewe na kama ikitokea hivyo mkikutana na rafiki zake njiani hatakutambulisha. Hisia kwamba hamuendani humwingia.
UNAFANYAJE SASA?
Kubwa unalotakiwa kufahamu rafiki yangu mpendwa, suala la kupanda au kushuka thamani lipo mikononi mwako. Yapo mambo ambayo ukiyazingatia, mwenzako hawezi kukuchoka na kufikia hatua ya kukushusha thamani.
Tayari tumeshaona athari zake lakini hapa sasa nataka kukupa mbinu ambazo ukiwa nazo makini basi itakuwa rahisi kwako kubaki namba moja na mtu muhimu zaidi (ndiyo inavyotakiwa kuwa) kwa mpenzi wako maana ni haki yako.

ANZIA MWANZO
Ni rahisi zaidi kulinda thamani yako kuanzia mwanzo wa uhusiano wenu. Ikiwa tayari mmeshakomaa halafu tatizo hilo likajitokeza, hutumika nguvu nyingi zaidi kulirekebisha kuliko kujizatiti kuanzia mwanzo wa uhusiano. Ni mambo gani hayo? Twende hapo chini.
CHUNGA KAULI ZAKO
Naomba ieleweke wazi kuwa mada hii ni maalum zaidi kwa wanawake. Kitu muhimu cha kwanza kabisa kwa mwanamke ambaye anataka kuilinda thamani yake kwa mpenziwe ni kupima sana kauli zake.
Acha kuropoka hovyo, pima maneno yako na ikiwezekana kama unadhani kuna jambo huna uhakika nalo usizungumze kabisa. Katika eneo hili, uwe makini zaidi mnapokuwa na watu wengine. Kama mwanamke usiwe mchangiaji hoja sana.
Utulivu wako unaweza kuwa silaha kubwa ya kukufanya ubaki na thamani yako kama mwanamke anayejitambua.
USIRUHUSU MAPENZI
Msichana mwenye kujitambua na kufahamu thamani yake sawasawa hawezi kuruhusu mwili wake ujulikane na mwanaume harakaharaka. Onesha unajitambua na usikubali kirahisi kuuacha mwili wako uchezewe.
Mpe hoja; kwanza mapema, hajakuoa wala kukuchumbia, haraka ya nini? Wakati unawaza kuhusu kutoa penzi lako, lazima ufikirie kuhusu athari zinazoweza kukupata kwa kukurupukia mapenzi. Mwanaume ambaye bado hamjachunguzana na huna uhakika naye wa kutengeneza maisha, kichwani mwake hakuweki kwa asilimia kubwa.
Ukumbuke kwamba, ukipata matatizo yoyote – binafsi au yanayosababishwa na uhusiano wenu, anakuwa hana uwajibikaji wa asilimia kubwa kwa tatizo hilo. Utabaki wewe na matatizo yako!

JINSI YA KUMVUTIA MWANAMKE


Uwe na muonekano mzuri
Wanawake wanapenda wanaume wasafi na watanashati kwa hiyo ukiwa msafi na mtanashati utakua na mvuto kwake. Hivyo utakapoamua kumshawishi kufanya mapenzi itakua rahisi yeye kuwa rahisi kukubali.
Mfanye ajisikie huru
Ni rahisi mwanamke kufanya mapenzi na mtu anayejisikia huru mbele yake na ambaye yupo huru kuongea na kufanya nae mambo mengine ya kawaida katika maisha. Kwa hiyo ili uweze kumshawishi mwanamke kufanya mapenzi na wewe njia nzuri ni kumfanya ajisikie yupo huru mbele yako na kasha atakua huru kufanya mapenzi na wewe.
Mfurahishe
Mfanye ajisikie mwenye furaha kila anapokuwa na wewe na atamani kuwa na wewe. Akishajiskia mwenye furaha kila anapokuwa na wewe ni rahisi kushawishika kuwa na wewe kimapenzi.
Mfanye ajione kuwa yeye ni mzuri
Mwanamke anapenda sana na anavutiwa na mwanamme anayeona ubora wake au anayemsifia kuwa ni mzuri.
Mfanye akuamini
Mfanye aamini kwamba hata baada ya kufanya mapenzi bado mtakua pamoja na sio mwisho wa mahusiano yenu au urafiki wenu.
Usiwe na haraka, Mpe muda
Usiwe na haraka ya kumwambia kuwa unataka kufanya mapenzi na yeye bali subiri mpaka utakapoona yupo tayari au anaelekea kukuhitaji.