Sunday, June 30, 2019

MBINU YA KUMVUTIA MWANAMKE BILA KUONGEA


Ushawahi kujikuta katika hali ambayo unashindwa kujua utaanza vipi kuongea na mwanamke? Ni mwanamke mzuri ambaye moyo wako unamtamani lakini akili yako inashindwa kutengeneza mawazo ya jinsi utakavyoanzisha stori na yeye. Unabakiwa ukimuangalia akikupita mbele yako, ama mbaya zaidi anakuja kuchukuliwa na wanaume wasiokuwa na thamani yeyote kwa maisha yake. Unabakia na majutio na mawazo ya "kama ningeweza kujiamini mbeleni si ningem...." Well, tatizo hilo halijawahi kutokea kwako pekee bali kwa kila mwanaume wakati flani katika maisha yake na hatutaki lijitokeze tena mbeleni.

So chanzo cha wewe kutoweza kumtongoza huyu mwanamke ni kuwa akili yako ilikataa kutoa mazungumzo ambayo ungeweza kuyatumia kwa huyo mwanamke. Well, waonaje kwa mara moja tukubaliane na akili yako na tusitumie maongezi kuapproach mwanamke, na badala yake tutongoze kimya kimya?

Kutongoza kimya kimya ni mbinu rahisi sana, mwanzo ni rahisi kwa kuwa unapata kujua kama mwanamke anakupenda au la. So bila kupoteza wakati, hebu tuchambue mpango mzima.

Zama nami!

1. Kwa kutumia macho
Kila mtu anajua nishati inayotokana na kutumia macho. Macho ni kiungo ambacho wanaume wamebarikiwa nacho na akikitumia vizuri kinajeuka kama silaha nzito wakati ambapo unaitumia kwa mwanamke. Ushawahi kujiuliza ni kwa nini wakati mwingine mwanamke anashikwa na aibu/haya wakati unapomwangalia? Ama je ushawahi kumskia mwanamke akisema kuwa usimwangalie machoni mwake? Hii ni kwa sababu macho yanaweza kutumika kuongea maneno ambayo mdomo unaweza kushindwa kuongea.

Wakati utajipata ukimwangalia mwanamke, mwangalie machoni halafu utoe tabasamu. Kumuangalia kunaonyesha unajiamini. Kutabasamu unamwonyesha kuwa wewe ni salama na anaweza kuongea na wewe. Unaweza kusoma chapisho letu la awali ambalo linafafanua mbinu ya kutumia macho kuapproach mwanamke kwa kina.

2. Mfanye akugundue kupitia kutangamana kwako
Njia nzuri ya kusimama ili wanawake waweze kukutambua ni kupitia utangamano wako na wengine. Kujizunguka na wanawake wengi (haswa wale warembo) kutaashiria ya kuwa wewe ni aina ya mwanaume ambaye wanawake wanapenda kuwa naye. Hii itawafanya wanawake wengine katika hio sehemu kuwa na shauku ya kutaka kujua ni kitu gani ambacho kinakufanya wanawake wapende kuwa na wewe. Hii automatically itawafanya wanawake kuwa na umbea kukuhusu, kuvutiwa kwako, na hata kuingiwa na wivu wa kwa nini haujawaingiza katika kundi lako.
Mbinu hii ni moja wapo ya sosholojia ya wanawake, kimaumbile wanawake hupenda vitu ambavyo wanawake wengine hupenda. Hivyo kama wewe unamtaka mwanamke flani na hutaki kutumia maongezi, anza kutangamana na marafiki wake wote isipokuwa yeye, mwishowe utamwona akijileta yeye mwenyewe, tena ujitayarishe na mapema kwa kuwa atakuja na presha ambayo kama hukujipanga vizuri inaweza ikakulemea.


3. Matumizi ya banta bila kuongea
Banta ni mbinu ya kuonyesha ucheshi, mchezo na mzaha wakati wa kuongea na mtu. Mbinu hii pia inaweza kutimizwa bila kutumia mazungumzo ili umfanye mwanamke aweze kuvutiwa kwako.

Kwa mfano, kama ulishatumia mbinu ya macho kuwasiliana na mwanamke na unataka kuendeleza shughli kwa kutumia banta, njia rahisi ni kumuonyesha nyuso za ucheshi. Jifurahishe na uwe mcheshi - toa ulimi wako nje - pinda macho yako - weka uso wowote ule wa kipuzi ambao unajiskia. Hii ni njia rahisi ya kumfanya mwanamke atabasamu akiwa mbali, na itakuwa rahisi kwako kumuapproach na kuendea na yeye iwapo ataonyesha dalili za kupendezwa na wewe.

4. Mvutie na mwonekano wako
Ukitaka kumvutia mwanamke kiurahisi basi ni muhimu kubadilisha mwonekano wako. Mbinu hii tuliieleza kwa kina katika chapisho la jinsi ya kubadilisha mwonekano wako uwavutie wanawake. Kwa kawaida, wanawake wanapenda kushufu wanaume ambao wanavalia kinadhifu.

Lakini hapa usichukulie makosa. Kubadilisha mwonekano hakumaanishi ya kuwa unapaswa kuvalia nguo ghali ama za thamani ya juu. La hasha. Kubadilisha mwonekano kunamaanisha kuvalia nguo safi, nadhifu na ambazo zinaashiria hulka yako. Usijitese kuvalia nguo ambazo haziwiani na wewe kwani kwa mwanamke ni rahisi kukugundua kama umejeuka mwigo.

5. Ishara ya mwili wako
Wanawake wanaweza kujua mengi kukuhusu kwa kuangalia miondoko yako ya mwili pekee. Kama unataka kuonyesha ujiaminifu ambao utamfanya mwanamke akutambue, basi ni lazima mwili wako uonekana vile unapaswa kuonekana.

Kuonyesha confidence katika mwili wako unapaswa kufanya yafuatayo:

i) Simama wima - mwanaume thabiti akisimama anakuwa hivi; masikio yako yawe nyuma ya mabega yako, mabega yako yawe nyuma ya kiuno chako, kiuno chako kiwe nyuma ya kiwiko chako.

ii) Kaa kwa kujitanua - wakati umekaa katika kiti, hakikisha ya kuwa unachukua nafasi yote ambayo unaweza kuitimia. Egemea kwa kiti, itanue miguu na mikono yako, kichwa kiweke kiangalie juu.

iii) Jinsi unavyokaa - Usisogee sogee kama huna sababu zozote, usikunje miguu wala mikono, usiangalie chini, usijikune kichwa ama kutafuna tafuna.

iv) Unavyotembea - Tembea na sababu, tembea kwa kujiamini, tembea na njia thabiti.

Kuweza kukontrol mwili wako inakusaidia kuonekana mtu mwenye nguvu, wa kujiamini ambaye anapendwa na wanawake.

6. Kuwa na hadhi ya juu
Mpaka sasa hili chapisho linaongea kuhusiana na kuwasiliana na mwanamke bila kuongea naye. So iwapo unataka mwanamke akunotice, wakati mwingine inahitajika kuwa na jitihada za ziada. Kukaa sehemu moja kungojea mwanamke akugundue haitakuwa ya fanaka kama vile ambavyo utaamka na kujifanya uonekane wewe mwenyewe.

So utafanyaje mpaka mwanamke akunotice ?
Tangamana na marafiki, jamiiana na kila mtu ambaye unamjua. Wakati umetoka matembezi au sehemu yako ya kujivinjari, ongea na kila mtu - wanaume, wanawake, wateja, wafanya kazi nk. Wanawake watauona uwezo wako wa kutangamana na kila mtu na watakuwa na interest ya kuongea na wewe. Ziada ni kuwa utakuwa unaonyesha ujiaminifu, urafiki, na uko na uwezo wa kujicontrol katika jamii - tabia zote ambazo wanawake wanaziona nzuri katika mwanaume.

7. Wafanye wanawake wakufukuzie
Kufanya wanawake wakufukuzie inaweza kuwa rahisi sana. Kile ambacho unahitajika ni kutoka nje umakinike na kujifurahisha muda wote. Weka tabasamu katika uso wako na ujiinjoy wewe mwenyewe. Hii itamfanya mwanamke kukunotice na kutamani kuungana na wewe ili muinjoy pamoja

NJIA ZA KUFANYA KAMA MWANAMKE HAJIBU TXT ZAKO


kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako. Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake.
Baadaye unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika halafu baada ya hapa anakataa kujibu texts zako. Unabaki ukijiuliza maswali ni kitu gani ambacho umefanya ambacho umekosea. Ok labda anaweza kuwa yupo buzy unampa muda kiasi ajibu text zako…unangojea masaa, siku, wiki mpaka inafikia wakati unagundua kuwa amekupuuza. Kwa nini hajajibu text zako?
So kwa nini hakujibu text zako?
Katika situation nyingi ni kuwa sababu kuu ambayo amekataa kujibu texts zako ni kuwa haukumpendeza mara ya kwanza ulipokutana naye. Ok labda sababu nyingine inaweza ni kuwa ameibiwa simu yake wakati alipokuwa akitext na wewe barabarani ama kitu kingine kama hicho, lakini hapa acha tumakinike na hatua ya kwanza uliokutana naye…yaani first impression ambayo unakudana na mwanamke yeyote.
1. Hakikisha unampendeza mara ya kwanza unapokutana naye
Anaweza kuwa hana muda mrefu wa kukaa na wewe ili akutambue zaidi so kile kitu ambacho unahitaji kufanya ni kuwa lazima uuonyeshe upendo wako kwa kuwa mpole, mkarimu na mtulivu. Hii itamfanya yeye kumakinika na labda kutaka kukufahamu. Hakikisha kuwa wakati unapoongea na yeye tumia mbinu za kuonyesha kuwa ungependa kukutana na yeye wakati mwingine. Kama hakuonyesha dalili zozote za kukuelewa basi hata kama atakupatia namba yake ya simu fahamu ya kwamba itakuwa ni kazi bure.
2. Taja sababu zako za kuongea na yeye
Mfano: Nimefurahia sana kuongea na wewe. Kusema kweli nimependa maonezi yetu machache. Nataka kwenda lakini naonelea wikendi nitakutext tukutane ili tuongee tena. Hapa utakuwa umeeleza ajenda yako kwake hivyo ukianza kuchat na yeye baadae haitakuwa vigumu kwake kukujibu.
3. Hakikisha kuwa unamtumia text wakati ufaao
Ukiomba namba ya simu kwa mwanamke inamaanisha kuwa wewe umeonyesha intrest kwake vilevile mwanamke akikupatia namba yake ya simu inamaanisha kuwa labda itakuwa amependezwa na wewe. Lakini je, ni muda upi unaotakikana hadi umtext mwanamke huyo.
Wanawake wanapenda kuona wanababaikiwa na kufukuziwa. So usijaribu kumtext hapo hapo wakati amekupatia namba yake. Hakikisha umejibatia shughli nyingi ili usahau kabisa kama uchukua namba kwa mwanamke. Masaa mazuri ambayo yangekuwa sawa ya kumtext ni baada ya masaa 24 baada ya kuchukua namba yake. Hii itamfanya mwanamke yeyote kujiuliza maswali ya kwa nini umechukua muda mrefu kumtext. Itamfanya kuingiwa na maswali ya kama: kwani hajapenda chat yangu? yuko na mwingine? nk. Ukichukua muda huu mrefu hadi kumtext, itakuwa rahisi kwake kukujibi.
ONYO: Hakikisha ya kwamba haupitishi zaidi ya siku tatu kwani anaweza kukusahau kwa haraka ama kuona unampotezea wakati wake.
4. Kitu cha kuandika kwa text yako ya kwanza
Messages za kwanza ambazo utazituma kwa mwanamke zitachangia pakubwa kuona kama wewe uko uko interesting ama unaboa. Unaweza kuuharibu mchezo mzima kama iwapo utaanza kumtext na mambo ambayo hayana manufaa kwake. Kile kitu unachohitajika kufanya hapa ni kuonekana hauna haraka na ujaribu kutumia lugha za kirafiki. Mfano unaweza kujaribu kumtext swala ambalo aliligusia kwa chat iliyopita. Labda aliongea kuhusu kwenda shopping na nduguyake, so swali lakini linaweza kuwa: Je ile shopping yenu na nduguyako iliendaje?. Hii itamfanya kuwa interested na wewe manake ataona ya kuwa ulikuwa umemakinika wakati mlipokuwa pamoja. Hii itamfanya kujibu text zako mara kwa mara bila yeye kuchoshwa.
5. Jaribu kuhepa stori ambazo hazitafikia popote
Mara ya kwanza anaweza kukujibu lakini itafikia pahali atanyamaza. KUMBUKA: Siri kuu ya kumfanya mwanamke ajibu texts zako ni uwe makini kwake, yaani unamtext vtu ambavyo unajua yuko intrested navyo.
6. Weka wazi kuwa unataka mkutano
Acha stori za kumzungusha huku na huku kama wanaume wengine. Ukitaka akujibu text zako hakikisha ya kuwa unadhihirisha azma yako kwa kumwambia kuwa unataka kukutana naye.
7. Usikate tamaa
Kuna wanaume wengine kama wamekataliwa kujibiwa texts zao mara moja basi wanakasirika na wanaachana kabisa na kushungulika tena. Tatizo labda linaweza kuwa mwanamke anakupima akili aone bidii yako kwake. Kama tujuavyo tabia za wanawake ni kuwa hawapendi kuonekana kama ni watu wa kukubaliana na kila kitu hivyo basi wakati mwingine wanakuwa hawaeleweki.
Ukiona mwanamke amekataa kujibu text yako kwa siku tatu, fanya kumtext tena huku ukionyesha kuwa hauna intrest naye sana vile halafu achana naye. Hii itamfanya yeye kuona una interest na yeye lakini hauna haraka. Baadaye anaweza kuanza chat yeye mwenyewe.
KUMBUKA: Kuna sababu tofauti tofauti ambazo zinaweza kumfanya mwanamke kukataa kujibu texts zako. Labda umemtusi, hujampendeza, ni mwanamke mwenye haya nk. So hizi hatua zitategemea na vile imetokea katika situation yako.

KWANINI WADADA WAZURI HUCHELEWA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA


1. Wengi wa namna hii wanajiabudu. Yaani akili zao na ufahamu wao unaishia juu ya miili yao na maumbile yao kwa kiwang ambacho akijiona au kujiangalia kwenye kioo anaona yeye hawezi kukosa mtu wa kuwa nae. Haya ni majivuno yanaozaa SELF WORSHIP, ni kiburi. Kutokana na hili, wadada wa namna hii wamekuwa wakiiingia na kutoka kwenye mahusiano kwani bado wana akili za KUJIANGALIA.

2. Kutokana na wao kujiona ni warembo wengi sana wamekuwa na kujiamini kunakopitiliza au OVERCONFIDENCE. Hii inamaanisha mdada anajiamini kuwa kutokana na uzuri alionao mkaka hawezi kumbabisha kwa lolote kwani ana uwezo wa kupata mkaka mwingine any time

3. Wadada wa namna hii pia wamefundishwa na kuandaliwa kushindana na wanaume kwani uzuri na urembo wao unakuwa kama SELF DEFENCE, kujilinda na kujikinga. Anapojiangalia anakuwa anataka mwanaume anaefanana na urembo na uzuri wake, anajikuta anachelewa na kusubiria kwani kuna wakaka hawapo bado duniani.

4. Wadada wa namna hii hujihesabia haki kuwa wanastahili kuolewa kutokana na maumbile yao kuwa ya kuvutia. Ni kweli mdada atawavutia wanaofanana nae lakini mwisho wake huwa ni maumivu ya kudumu kwa mdada.

5. Wengi wa wadada wa aina hii ni walevi wa sifa, kule kuambiwa na watu kadhaa kuwa wao ni wazuri huwa kunawafanya waendelee kuamini kuwa anaetakiwa kumuoa sio kama Raphael, mwenyewe lazima awe handsome kama yeye alivyo n kumbe Raphael alikuwa haangalii tu shape.

6. Wadada wa namna hii wanachagua au wanatumia muda mwingi sana kuchagua wakaka wanaowataka mpaka wanamkosa kila mtu na hii huwa inauma sana na hasa akiona anaolewa asiyestahili.

7. Wadada wengi wa namna hii huwa wanadhani kuolewa ni lazima uwe mrembo na mzuri kwa kila mkaka na wengi huwa wanasahau kuwa uzuri uko ndani ya macho ya anaekuona mzuri so mwisho wa siku anamkataa mkaka akiamini kuwa yeye ana uzuri

ONYO KUOLEWA SIO FASHION
KISA WATANIONAJE HEHEHEEEEE
USISHINDANE

LUGHA YA MAPENZI


Kwanini uliachana na ‘ingiza jina’?”…
“Ah tulikuwa hatuendani tu”
Ushawahi kujikuta kwenye scenario hiyo?
Unaweza kumfanyia mpenzi wako kila jambo uonalo ni jema kwake na bado akakuacha au akatoka nje ya penzi lenu(cheating). Unabaki kusema “Nilikuwa nampa pesa, zawadi, na kumhakikishia nampenda na nataka tuje kuwa pamoja maishani lakini aliniacha.
Haya matatizo yote yanaweza kumalizwa au kupunguzwa kwa kiasi kikubwa na kujua LUGHA YA MAPENZI anayoielewa mpenzi wako.
Lugha ya mapenzi ya mwenzi wako ni ile namna mtu anaona amethaminika zaidi na ukideal nae namna hiyo anaona hewaa, hapa napendwa.
Hujawahi ona mtu ashawahi kuwa na wapenzi kibao ila akipata mtu wake mmoja anatulia tuliiiiii?(am sure umewahi) Ni sababu anakuwa ameongea nae ile language yake anayoitaka yeye.
Kuna lugha tano maarufu za mapenzi. Naamini kuna nyingine; zinaweza kuongezeka hapa maana najua Tanzania ndo Eden kwenyewe.
1. Maneno ya kumhakikishia penzi
Mpenzi anayezungumza lugha hii ukimwambia I love you zake 10 kwa siku anatosheka. Ukimwambia Uko peke yako kwenye sakafu ya moyo wangu anafurahiiii. Ukimsifia kuwa kapendeza sana umemmaliza.
Onyo: Watu wa lugha hii wako sensitive na maneno. Kama ambavyo ukimwambia neno zuri anawasha penzi kama moto, ndivyo ukimtusi au kumwambia neno la kuumiza utakiona cha mtema kuni.

2. Muda wa kuwa pamoja bila bugudha
Wapo wapenzi wanaothamini muda wa kuwa pamoja na mwenzie kuliko chochote. Hata njaa hasikii, yeye awe tu na mpenzi wake aidha ndani au nje.
Ukiwa nae hataki mara umepigiwa simu na shogaako Mary, mara umeingia goal.com unaangalia kama Chelsea wamerudisha goli; anakutaka wewe na macho yako na masikio na kila kitu.
Onyo: Kuahirisha mipango na mpenzi huyu = Sikupendi!
Kuwa makini.
3. Matendo ya kimahaba
Wapo ndugu zetu wengine wanathamini matendo ya kimahaba. Mara nyingi hivi ni vitu vidogodogo tu vya kuonesha unajali; mfano kumsaidia mpenzio kuosha vyombo, kumsaidia kubeba pochi, kumsaidia kufunga tai au vifungo vya shati, kumlisha mpenzi wako, kumsindikiza mpenzio kwenye gari aendapo kazini, kumpitia kazini mkapate wote lunch, kumshika mkono mbele za watu…ni vingi mnooo.
Onyo: Hawa watu wanaangalia sana matendo na huyahusisha na commitment; kama huwa unamfungulia mlango wa gari kila siku na siku moja ukaacha = Umepata mwingine!
Kama huwa unampakulia chakula mezani kila siku, siku ukaacha apakue mwenyewe = Una anayekutia kiburi!
4. Kupokea zawadi
Najua wanaume watasema “wanawake Tanzania wanaongea lugha moja tu, nayo ndo hii”
Hakuna asiyependa zawadi jamani hasa ya mpenzi lakini hapa tunawazungumzia ambao haoni kama anapendwa kama hapewi vitu/pesa kila mara.
Hapa siongelei wachunaji au wanaouza nanii maana hao huwa hawapo kimapenzi. Nazungumzia mpenzi ambaye hakupi pressure ya kwamba anahitaji kiasi fulani au nataka hiki na hiki, yeye anahitaji uwe unampa zawadi kila mara kulingana na uwezo wako na usipompa anaona hakuna mapenzi hapo.
Onyo: Wapenzi hawa huwa sensitive sana na aina ya zawadi unayompa na kuilinganisha na uwezo wako. Yani ubora wa zawadi ndo ubora wa mapenzi.
Mfano birthday ya kwanza unampa perfume na kadi, ya pili unampa lollipop na kadi wakati anajua uwezo wa kuupgrade ulikuwa nao…sina la kukwambia.
5. Mguso wa kimwili
Actually, hii ndo lugha yangu mimi. Watu wa hivi tunapenda kugusana na wapenzi wetu. Kugusana haimaanishi tu katika ngono; hata katika mazingira mengine.
Tunapenda hugs, kisses, kushikwa mkono, kugusanisha miguu chini ya meza, kuegemewa, cuddling…name all physical contacts. Mpenzi akifanya hivi = Nakupenda Kinoma.
Onyo: Kama ambavyo watu hawa wanapenda mguso chanya, miguso hasi inawavuruga.
Kupigwa, kusukumwa, kutolewa mkono anapomshika mpenzi wake vinahit hard so do not try it; mwenzio atakachotafsiri hata hutotegemea.
=====
Baada ya kupitia hizi lugha ni muda wa kutafakari je wewe lugha yako ni ipi? Na ya mpenzi wako ni ipi?
Njia bora zaidi ya kujua lugha ya mwenzi wako ni kuangalia anaonesha vipi mapenzi. Mtu anayeelewa zaidi lugha ya zawadi believe me atakupa zawadi mara kwa mara sababau ndo anaona best way ya kuonesha penzi.
Anayeelewa lugha ya matendo ya kimahaba atakufanyia vitendo mbalimbali vya mapenzi. Wa maneno atakuambia maneno ya kukuaminisha penzi kila mara.
Anayeelewa ya muda atataka mara nyingi awe na wewe na anayeelewa lugha ya mguso utakoma kwa kuguswaguswa kila mara.
Kama wapenzi probability kubwa mtakuwa na lugha tofauti za mapenzi, ni wajibu wenu kujuana na kutendeana ipasavyo.

Saturday, June 29, 2019

NJIA ZA KUFANYA ILI MWANAUME AKUOE


Kumfanya mwanaume aweze kuwa na majukumu ya kimaisha ni vigumu, lakini hizi mbinu ambazo tuko nazo za kumfanya mwanaume akuoe zitahakikisha umesimama na yeye madhabahuni haraka sana.
Hivi wewe umekuwa katika mahusiano na mwanaume kwa muda mrefu mpaka unaanza kushuku iwapo huyu mwanaume yuko serious na wewe ama anakuchezea tu? Na umekuwa kila siku ukimwomba Mola akusaidie angalau amfanye huyu mwanaume ulie naye atoe ishara za kuwa atakuoa mbeleni.
Well, sote tunajua kuwa ndoto ya kila mwanamke ni kuwa siku moja katika maisha yake atakuja kuolewa kwa harusi…so sisi hapa tunataka kukupa maujanja ya kumfanya huyo mwanaume atake kukuoa haraka sana.
Zama nasi.
1 Kuwa girlfriend kamili. Hivi wewe na mwanaume huyu mumekuwa na maisha ya fanaka. Nyote wawili mumeinjoy maisha ya furaha, mumezama katika mapenzi, na unaona kwamba una uwezo wa kumwambia kila kitu ambacho unakifikiria. Lakini hebu ngoja kidogo na ufikirie mambo ambayo unaweza kufanya zaidi ya hayo.
Mfanye ajihisi kuwa anakubalika, yuko salama na special, haya ndio mambo ambayo anahitaji zaidi. Bila shaka utakuwa unamjua zaidi ya mtu yeyote yule. Kile ambacho anapenda na kuchukia, na mambo ambayo yatamfanya akuone kuwa wewe unapendeza zaidi ya kitu chochote kile.
Hakikisha unafanya kila kitu ambacho mwanamke kamili anaweza kufanya. Mwonyeshe kila kitu ambacho anahitaki, na bila shaka atakuona wewe umejitweka jukumu la kuhakikisha kuwa wewe uko hapo kwa ajili yake.
2 Mtunze. Kama mwanaume anahisi kuwa hawezi kuishi bila wewe, basi bila shaka atahakikisha ametia kufuli jambo hilo.
Hakikisha kuwa unamtunza na unamfanya akutegemee kwa mambo madogo madogo, hata kama ni jambo rahisi lile la kushughulikia nguo zake ama kumpa sapoti wakati anapohitaji. Wewe kuwa ubavuni mwake kutafanya mabadiliko ya haraka sana, na hatoweza kustahimili kuishi bila wewe.
3 Kuwa shabiki wake mkuu. Jeuka shabiki mkuu wa mwanaume wako. Kitu chochote kile ambacho ayaamua kufanya, hata kama ni jambo la utani ama la kuchekesha wewe mpe sapoti kwa kumshabikia atimize azma yake.
Ile siku ambayo atakuja kugundua kuwa mafanikio yake katika azma yake yamechangiwa na wewe basi atakuweka karibu yake. Atakuona kuwa wewe umekuwa karibu yake bila hata kupoteza imani katika azma yake. Well utakuwa umetoboa.
4 Mtreat. Wakati mwingine wanaume huchoka kwa kuwa wao ndio kila wakati huwatoa wanawake out na deti. Msaprize siku moja kwa kumtoa out siku moja, na kuhakikisha unafanya mambo ambayo anapenda kufanya.
Tumpeleka sehemu romantik, kumtoa katika dinner na kumuonyesha jinsi romance inavyokuwa kutamfanya achangamke na labda anaweza ingiwa na jazma ya kukutamkia lile neno ambalo umekuwa ukilingojea kutoka kwake kwa miaka.
5 Kuwa mkweli kwa kile unachotaka. Wanaume wengi si wajuzi wa kusoma akili ya mtu. Wakati mwingine unaweza kuwa katika mahusiano na mwanaume kwa miaka mingi na ukashangaa ni kwa nini mwanaume kama huyu hajakuposa. Kuna uhakika mkuu ni kuwa wazo kama hilo bado halijamlenga kwa kichwa chake.
Kama umekuwa na maongezi ya ukweli na mwanaume wako, na ukaweka wazi kuwa unampenda, na ukaeleza vile ambavyo unaona mahusiano yenu yatakuwa miaka inayokuja, basi anaweza kuingiwa na hali ya kutaka kuchukua hatua ya mbele kuhusiana na unavyosema. Hata kama hana uhakika na ndoa, atleast utakuwa umeliweka wazo hili katika kichwa chake.
6 Usiwe comfortable sanaa. Kuwa comfortable sana katika mahusiano ni hatari sana. Haswa iwapo kama unataka mwanaume wako achukue hatua ya mbele. Ni rahisi kujisahau katika hali ulioko wakati huo na mwishowe kuwa mvivu. La kufanya ni kuhakikisha kuwa unatafuta maisha yako wewe mwenyewe, interests zako na marafiki wa kwako.
Hakuna kitu kizuri zaidi kama mwanamke ambaye ana uwezo wa kujitegemea mwenyewe. Mfanye akuone kuwa wewe una mambo yako ambayo unafanya, na kuwa una maisha yako ya nje kando na kuwa katika mahusiano. Soon ataanza kuona jinsi ilivyo rahisi kwako kuenda zako, na hivyo atahakikisha ya kuwa jambo kama hilo halitokezei.
7 Usimuogopeshe. Usimuogopeshe mwanaume ili akupose kwa kuwa hilo si jambo la kufuata. Inakubalika kuongea maswala ya ndoa, na kueleza msimamo wako. Lakini iwapo utakuwa kila wakati unamtia presha, kila wakati unagusia swala la ndoa, ama kuanza kutokwa na machozi kila upitapo mbele ya duka la harusi basi utafanya ile dhana ya kwake kukuoa kufifia haraka sana kwani atakuogopa.
8 Mwonyeshe kuwa wewe ni wife material anayemwota. Ukimwona mwanaume ameamua kuwa wewe ndie aliyekuchagua basi tayari alikuwa alikuweka kwa ndoto zake awali.
Kama unamtaka aweke pete kwa kidole chako, basi mwonyeshe kuwa wewe utakuwa mke mwema. Kuwa mtiifu, mwaminifu, mpole, mvumilivu, na mpendezi. Muda si mrefu ataona kuwa hakuna mwanamke yeyote ambaye anaweza kuzishinda tabia ambazo uko nazo.
9 Rudi nyuma. Kama imepita muda mrefu na umeshajaribu mbinu zote tulizozitaja hapo juu, basi jambo la mwisho ambalo unaweza kufanya ni kurudi nyuma kiasi. Kumpatia mwanaume wako nafasi ya kupumua si jambo baya, Si lazima ufanye mambo mazito ya kuleta atenshen ya bure. Kwa kupoa kiasi, anaweza kuhisi kutokuwepi kwako na kugundua kuwa maisha yatakuwa hayana maana kama hautakuwa na yeye.
Atagundua kuwa maisha yake ni mahumu bila wewe na hapo hapo atakutaka uwe na wewe zaidi kuliko awali.
10 Mtamkie. Wakati mwingine kufunguka ni jambo zuri. Kama umechoka kungojea, mbona usichukue hatua mikononi mwako na kumwambia akuoe mwenyewe?

FAIDA ZA KUWA SINGLE KWA WAKATI FULANI


Katika sayari hii ya dunia kuna baadhi ya watu wanakwambia mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia, hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya watu wengi wametawaliwa na mawazo ya kimapenzi.
Pamoja na kuwapo kwa kundi hilo la watu wanaoamini hivyo lakini pia wapo baadhi ya watu huamini ya kwamba mapenzi hayana faida yeyote ile.
Kundi hili la watu hao hujikuta wakitoka kwenye mahusiano, na sababu zinazopelepekea wao waamini hivyo mara nyingi huwa zinatokana na maumivu ya kutendwa na mtu ambaye alikuwa anamuamini na leo hii hayupo na mtu huyo tena kwenye mahusiano.
Tumekusogezea faida za kuwa single katika ulimwengu huu.
1. Mtu anapokuwa single anakuwa na uhuru wa muda wa kufanya mambo yako binafsi pasipo kupelekeshwa na mtu yeyote yule. Uhuru huu wa muda ni ule wa kufanya mambo yake na ya kijamii pia.
2. Mtu ambaye yupo single unakuwa na uhuru pia wa kufanya kile inachokitaka/ anachokipenda. Unapokuwa kwenye mahusiano kunakosekana uhuru wa kufanya vitu uvipendavyo hii ni kwa sababu unaweza ukawa unapenda kufanya jambo fulani ila kwa kuwa upo kwenye mahusiano ya kimapenzi huyo mpenzi wako akakuzuia kufanya jambo hilo kwa kuwa jambo hilo halimpendezi.
3. Unapikuwa single unakuwa hauna hisia mpelekesho, hisia mpelekesho ni zile hisia za kimapenzi ambazo zinakufanya ifikiri sana kuhusu mambo yanayohusu mapenzi, kwa mfano hivi hujawahi ona mtu anakurupuka usiku wa manane anampigia simu mpenziwe? bila shaka umewahi kuona, hii ni tabia inayokwenda sambamba na kitu kinachoitwa wivu.
4.Ukiwa singo unajiondolea shida ya kuwa na bajeti zisizo na maana,Kwa watu ambao bado wanatafuta maisha hii ni point kubwa sana kwao,kama unataka kufanikiwa kimapenzi haupaswi kufanya mapenzi yawe sehemu kubwa kwako kwani yatakupotezea muda na fedha.

MADHARA YA PUNYETO KWA WANAUME NA WANAWAKE


Punyeto ni nini
Punyeto ni kitendo cha kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto;
1. Inaharibu kizazi
2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara
3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo
4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu
5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto
6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.
7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.
8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.
9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara
10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Hay ni baadhi ya madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume
1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.
2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.
3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)
4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara
5. Huleta uchomvu sugu na kwa haraka zaidi, mara nyingi utahitaji kulala usingizi hata nyakati za mchana
6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

HASARA ZA KUA NA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA SANA


Imezuka tabia ya wanaume wengi kupenda sana wanawake wenye makalio makubwa,siku hadi siku tabia hii inazidi kuwa sugu kwani kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani.

Licha ya kuwa watu wengi huzimika na wanawake wenye makalio makubwa lakini ukweli upo tofauti kabisa kwani wanawake hawa wamekuwa na kero kadhaa ambazo ni sugu sana,zifuatazo ni kero zao kuu tatu.
UNAWEZA SOMA :
YAJUE HAYA MAMBO NANE (8) YA KUFANYA BAADA YA TENDO LA NDOA.
*Mwanaume huwa hapati mwanya au nafasi nzuri ya kumwingizia uume na ukafika kunako kwani mara nyingi ukubwa wa makalio huzuia uume kusakua uke kisawasawa hivyo badala ya kupata burudani unakesha ukihangaika kupekenyua tu makalio na kujikuta umemwaga hata bila ya kula mzigo inavyotakiwa.

*Wanawake wenye mzigo mkubwa wa makalio huwa wazito na hivyo inakuwa ngumu sana kuwakunja ipasavyo au kumlalia mwanamke kwa juu hivyo mara nyingi wamekuwa wakiwekwa mkao wa kifo cha mende tu wakati zipo staili nyingi na tamu kuliko maelezo ambazo wanawake wengi wenye mafurushi ya makalio hawawezi kukaa.
UNAWEZA SOMA :
MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!!
*Makalio makubwa kwa asilimia kubwa yamekuwa wavivu katika uzungushaji wa kiuno na mautundu mengine ya kitandani ambayo yanahitaji mdada mwepesi ili aweze kumrusharusha mwanaume huku na kule jambo linalompagawisha sana mwanaume.



NB. Kumtandika Wanawake wenye mzigo mkubwa wa makalio huwa wazito na hivyo inakuwa ngumu sana kuwakunja ipasavyo au kumlalia mwanamke kwa juu hivyo mara nyingi wamekuwa wakiwekwa mkao wa kifo cha mende tu wakati zipo staili nyingi na tamu kuliko maelezo ambazo wanawake wengi wenye mafurushi ya makalio hawawezi kukaa.
UNAWEZA SOMA :
MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!!
*Makalio makubwa kwa asilimia kubwa yamekuwa wavivu katika uzungushaji wa kiuno na mautundu mengine ya kitandani ambayo yanahitaji mdada mwepesi ili aweze kumrusharusha mwanaume huku na kule jambo linalompagawisha sana mwanaume.



NB. Kumtandika kisawasawa mwanamke mwenye makalio makubwa yahitaji tekniki mithili ya mtu anayewinda digidigi, hivyo sio kila ukiona mdada mwenye mzigo wa makalio unatamani ukamfanye shauri yako utaishia kulitizama tu hilo tako hata faida yake usione zaidi ya kukuletea kero kibao

Friday, June 28, 2019

MANENO AMBAYO MWANAUME HUPENDA KUAMBIWA


Kwenye suala la mahusiano ya kimapenzi kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuimarisha penzi na kulipa mizizi imara ili kuweza kudumu zaidi kama wapenzi watakuwa na nia moja. Leo tuangalie Mambo 5 Ambayo Mwanaume Hupenda Kusikia Toka Kwa Mpenzi Wake.
1. Kukosolewa – “I think you are wrong”
Wanaume wanaweza kujikweza sana lakini daima hawachukii kurekebishwa. Wanachojali zaidi ni jinsi gani au njia gani imetumika kuwarekebisha. Mwanaume akikosea, anataka mpenzi wake amkosea lakini kwa mapenzi, sio kwa mikwaruzano au dharau au mbele ya kadamnasi. Mrekebishe au mkemee faragha, toa maoni yako na wala usimlazimishe, itamfanya aone unajali na unataka kumjenga.
2. Kujali – “How was your day?”
Wanawake wengi hutaka wao tu ndio waulizwe kuhusu jinsi siku zao zilivyoenda kila siku, wanasahau kabisa hata wanaume nao walikua kwenye mihangaiko. Mzoeshe kumuuliza mpenzi wako siku yake ilikuwaje? utaona hata nuru ya mapenzi yenu itang’aa na mtakua marafiki, japo mwanzoni atakua hakuambii kila kitu lakini baada ya muda atazoea. Kila mtu anataka wa kumsikiliza, mtu atakayezungumza nae chochote kilichotokea ndani ya siku yake, na pengine kukuuliza ushauri.
3. Ucha Mungu – “Can we pray?”
Mwanaume, anayesali au kutosali, lazima huwa ana imani kwamba Mungu yupo. Mwanamke mcha Mungu siku zote huwa ni wazo la kila mwanaume endapo ana mpango wa kuoa. Mwanaume huwa na amani kwa kiasi fulani akiongozwa na mwanamke wake kwa upande huo wa sala.
4. Msamaha – “I forgive you”
Vikombe kwenye sahani haviko na uwiano sawa kuna muda vinaweza vikagongana,ikiwa umemuudhi mumeo jaribu kumuomba msamaha hii itasaidia sana
5.Kutiwa moyo—"bby take easy"
Wanaume wengi wanakutana na changamoto nyingi katika harakati zao utafutaji kila siku hivyo ni vyema mwanamke uwe bega kwa bega kumpa moyo

MANENO YANAYOMFURAHISHA MWANAMKE KATIKA MAHUSIANOy


Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. watu wengi pia huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza.
Sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unaempenda na unahitaji awe wako milele.
1. Macho yako ni mazuri , yananifanya nipotelee kwako kila nikiyatizama.
2. Unanifanya niwe mwanaume bora , kwa hio nastahili mapenzi yako.
3. Tumbo langu hutetemeka unapoleta mikono yako usoni pangu.
4. Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.
5. Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha.
6. Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini umenichagua mimi.
7. Hapana.wewe sio mnene uko poa na ndivyo nipendavyo.
8. Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti.
9. Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.
10. Siamini, maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.
11. Kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife.
12. Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.
13. Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nini nakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.
14. Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.
15. Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa.
16. Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.
17. Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.
18. Napata furaha nikiwa na wewe.
19. Napenda kutumia muda na wewe.
20. Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.
21. Natamani maisha yangu yote nikuone ukiwa na furaha.
22. Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo.
23. Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto.
24. Napenda nywele zako.
25. Napenda nikukumbatie ninapokuaga.
26. Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako.
27. Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza siku na wewe kwenye ndoto zangu.
28. Ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka.
29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha.
30.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke

KWANINI WANAUME HUWA WANACHEPUKA...!?


Leo nimeamua kuja na sababu zinazotokana na tafiti za wanaume kutokuwa waaminifu kwenye mahusiano na ndoa. Ikumbukwe kwamba sababu za wanawake kutokuwa waaminifu hazifanani moja kwa moja na sababu za wanaume, na hata kitendo chakutokuwa mwaminifu kwenye ndoa kwa mume au mke pia huathiri ndoa husika katika uzito tofauti. Hii ni kutokana na sababu za kiasilia, kiuumbaji, kijinsia na kisaikolojia.
Zifuatazo ndizo sababu za wanaume wengi kuchepuka:
Kisasi.
Mara nyingi wanaume hutumia kitendo cha kutoka nje ya ndoa au nje ya mahusiano kama fimbo ya kulipiza kisasi kwa maumivu au hasira yoyote aliyokuwa nayo dhidi ya mpenzi au mke wake. Kwa mfano, wanaume wengi nilioongea nao binafsi, hususani wale ambao walikuwa wanalalamika kuwa mke wangu haniheshimu, mke wangu ananidharau, mke wangu hanisikilizi, mke wangu anafanya hivi au anafanya vile, wengi baada ya kuongea au kulalamika kwa muda mrefu pasipo kuona mabadiliko baadaye waliamua kuanza ku “cheat”.
Kisaikolojia, mwanaume anapochepuka kwa sababu ya kisasi, huwa inamwondolea ile hali ya kujishtaki au kushtakiwa nafsini kwamba amefanya kosa “guilty conscious” na hiyo inaweza kumfanya aendelee kuchepuka kwa muda mrefu tu, tofauti na mwanamke anapochepuka.
Ni vema ukachukua tahadhari hii, pale unapoona mume wako analalamika sana kuwa haumuheshimu, unamdharau, haumsikilizi, haushuki au kunyenyekea basi fahamu kwamba kunauwezekano mkubwa ameshaanza kuchepuka au yuko kwenye kuisoma ramani ili aanze. Kama kunauwezekano wa kubadili tabia

JE MWANAMKE ANAHITAJI NINI ZAIDI...!?


Upweke, kwa hakika, huzaa migogoro isiyokwisha inayowafanya wanaume [ambao kimsingi ndio wasababishi wa upweke huo] washindwe kuwaelewa wanawake. Kwa mtazamo wao, ni vigumu kumridhisha mwanamke. Wengine wanaenda mbali na kufikiri , ‘mwanamke ni kiumbe mgumu kueleweka’ kwa sababu, ‘hata ufanye nini…hata umpe nini hawezi kuridhika’.
   Lakini wanachosahau wanaume wenye mawazo haya ni kuwa mwanamke kwa asili yake anayo mahitaji ya msingi ambayo yanapopuuzwa, chochote kinachofanyika kama mbadala wa mahitaji hayo hakiwezi kuwa na maana yoyote. Usipoweza kujua mahitaji yake halisi, unaweza kumpa chochote kile unachodhani anakihitaji na bado mambo yasiende kama unavyotamani iwe.
Kusema hivyo, haimaanishi sielewi kuwa wapo wanawake wengi wanaopenda kujipatia fedha kwa wanaume. Hawa ni wanawake wanaofanya biashara ya mahusiano. Kwao, hakuna sababu yoyote ya kuwa na uhusiano imara na wenzi wao isipokuwa mpangilio wa kujipatia vitu na fedha.
Hatuzungumzii uhusiano huo wa kibiashara kati ya mwanamume na mwanamke bali uhusiano wa dhati unaojengwa katika misingi ya upendo, uaminifu, kuelewana na ahadi ya kuwa pamoja katika dhiki na raha.
Hebu na tutazame mahitaji makubwa ya kihisia aliyonayo mwanamke mwenye upendo wa dhati kwa mwenza wake.

Kupendwa kwa vitendo
Tulishaona kuwa hadhi ya mwanaume inategemea kwa kiasi kikubwa namna anavyoheshimiwa. Kwa mwanamke hali ni tofauti. Hadhi yake inategemea namna anavyopendwa na mwenzi wake.
Upendo kwa mwanamke unaeleweka anapoambiwa bila kuchoka neno nakupenda.

Mwanamke anapenda zaidi anachokisia kuliko anachokiona,nadhani hata biblia inathibitisha hili.mwanamke anahitaji kubembelezwa kila wakati

Kumtia moyo anavokata tamaa
Wanawake kwa asilimia kubwa ni warahisi kukata tamaa na wana mioyo miepesi,hivo ww kama mwanaume unajuku la kuhakikisha unakua bega kwa bega kumtia moyo mke wako.

DALILI ZA MPENZI MWENYE MCHEPUKO


Ushawahi kuwa na hisia kuwa mpenzi wako labda ana mchepuko? Umekuwa ukijaribu kufanya utafiti wako wa kina lakini kila ukijaribu kupekua unaambulia patupu?
Ok. Leo kwa haraka tumekuja na ishara ambazo unaweza kuziangalia kwa mpenzi wako kama anachepuka au la.
Hapa Nesi Mapenzi tuko hapa kukujuza. Hivyo basi jukumu lako pia uhakikishe unawajuza marafiki zako. Ukiwa unashuku rafiki yako anamegewa basi usisite kumrushia na yeye chapisho hili pia yeye afunguke macho.
Well, mpenzi wako akiwa anachepuka basi inamaanisha jambo moja, wewe utakuwa ni number 2 automatic. Hivyo usikubali kamwe kuwekwa katika hali kama hii. Zama nami!
#1 Huwa anasumbuliwa na wasiwasi.

Ukitaka kujua kama mpenzi wako anachepuka, basi mwambie akupeleke zile sehemu ambazo anakuwa akitembea wikendi ama nyakati za jioni. Hapa utamwona kwanza akianza kutoa visababu visivyo eleweka. Na pindi akikubali kutoka na wewe basi hatakuwa makini na wewe bali atakuwa na wasiwasi asije akapatikana ghafla na mchepuko wake.
#2 Sikiliza moyo wako.

Ok, hii ni ishara ambayo iko ndani ya fikra zako. Ijapokuwa watu hawaamini kuwa fikra zako zinaweza kukupatia jawabu, ukweli ni kwamba kuna asilimia 100 kuwa unaweza kuwa kweli. Mfano umekuwa na huyu mwanamke kwa kipindi cha mwaka mzima. Halafu ukaona matendo yake yamebadilika ghafla. Unamwona anafalia nguo za kurembesha, anapaka marashi akiwa anatoka out na kadhalika. Hapa fikra zako zikikuambia kuwa anakucheat basi kunaweza kuwa na ukweli ndani yake.
#3 Hapatikani wikendi.
Hapa kila Siku za weekend anajifanya yupo bize au hapatikani au anaumwa ujue kabisa ameanza kukutoa moyoni kidogo dogo,Aina hii ya sababu huanza tararibu lakini baadae anaweza akakukatalia kabisa kua usiwe unasumbua weekend kwani anakua ana kazi kama kufua pia anaenda kanisani

Thursday, June 27, 2019

MWANAMKE JIFUNZE JINSI YA KUMTONGOZA MWANAUME


Kutongoza ni sanaa ambayo baadhi ya wanawake wako nayo na wengine hawana. Je ushawahi kukutana na mwanamke ambaye anaweza kumpata mwanaume yeyote bila tatizo? Tumekuandikia mwongozo wa jinisi ya kumtongoza mwanaume bila kuonekana kama unafanya hivyo.
Kabla haujaijua sanaa hio, lazima ufahamu jinsi ambavyo wanaume wenyewe hutongoza. Kwanza ni kuwa wanaume kwa kawaida hupenda wanawake wanaovutia. Hii inatumika kwa mwanaume yeyote yule. Tabia zao ni moja. So ukitaka kuteka atenshen ya mwanaume, lazima ujue jinsi ya kuvutia.
Pili lazima ujue kuwa wanaume hawawezi kutongoza kila mwanamke. Kutongoza si kitu rahisi. Wanaume wengi huogopa kuanza mazungumzo na mwanamke. Wengi wataweza kukutongoza iwapo tu utatoa ishara ya kuwa unataka kutongozwa. Sababu kuunya wanaume kushindwa kuapproach wanawake hivi hivi ni kuogopa kukataliwa na mbaya zaidi kuwa na sifa za mwanaume zege asiyekuwa na bahati kwa wanawake.
So, utaanzaje kumtongoza mwanaume bila kuonekana kama unamtogoza ili umpatie ile ishara ya kuchangamke?
#1 Onyesha tabasamu na aibu

Wanaume hupenda mwanamke ambaye anafuraha na hisia chanya. Na zaidi hupenda wanawake wanaotabasamu na kucheka wakati wanapozungumza nao. Usiongee maneno ya kuudhi ama misengenyo ukiwa na mwanaume sababu hawapendi tabia kama hizo. Pia usisahau kutabasamu na kuonyesha aibu
#2 Msifu na umshukuru

Wanaume pia hupenda kusifiwa. Kumsifia mwanaume ni mbinu ya kwanza kuanzisha mchakato mzima wa kumtongoza. Ukiona kitu kizuri kutoka huyu mwanaume basi usisite kumsifia. Pia mshukuru kwa mambo anayokufanyia. Ukimwonyesha tabia kama hizi, utakua unaanza kumtayarisha kwa mambo ambayo anapaswa kutarijia kutoka kwako hivi karibuni.
#3 Mwangalie machoni

Siri ya kujua jinsi ya kumtongoza mwanaume vizuri ni kwa kujihusisha kwa kila kitu ambacho anapenda kufanya. Si lazima uwe umefall in love na yeye ili uweze kuuteka moyonwake. Kile unachohitaji kufanya ni kumfanya awe na furaha kila wakati anapokuwa na wewe.
So wakati ambapo utakuwa umekutana naye na mnazungumza, mwangalie machoni mwake na umpe tabasamu. Kunaweza kumfanya achanyikiwe lakini mwisho utakuwa umemfanya mnyonge hadi magotini.
#4 Jionyeshe

Mwanamke ni umbo. Hivyo lazima umbo lake lionekane. Hakikisha unamakinika vizuri kwa kioo kabla kutoka kukutana naye. Jipambe vizuri, halia nguo nzuri za kuvutia. Hapa hatumaanishi unavalia nguo za uchi, la. Tunamaanisha unavalia nguo za heshima ambazo zitapendeza mtu yeyote ambaye atakuona.
Wakati mnapoongea na huyu mwanaume hakukusha unajionyesha vizuri. Mfano cheza na macho yako. Cheza na nywele zako wakati mnaongea. Hii ni moja wapo ya njia nzuri ya kumsuka mwanaume.
#5 Usiongee kwa nguvu.

Wanaume hupenda kuona ufemini kwa mwanamke. Hivyo ukiwa unaongea na huyu mwanaume hakikisha ya kuwa unaonyea kistaarabu. Sauti yako unailegeza vile ambavyo inastahili. Pia hakikisha unaongea kwa toni iliyo ya chini.
#6 Mguse mara kwa mara

Hii ndio njia nzuri zaidi ya kuhakikisha kuwa mwanaume anaingiwa na hamu ya kutaka kuongea na wewe. Wanaume hawawezi kujizuia wakati ambapo wanaihisi miguso ya wanawake ikiilisha kwa ngozi zao.
Hivyo kwa upande wako, wakati ambapo unazungumza naye, unaweza kumgusa viganja vyake, kumshika bega ama sehemu yeyote ile ambayo haitazua taharuki.
#7 Kuwa kisichana

Hapa hatumaanishi kuwa lazima ujifanye kama mtoto wa shule ili mwanaume aanze kukutongoza bali tunamaanisha kuwa unajiachilia na kumpa majukumu mwanaume ili achukue usukani. Hapa unamwacha mwanaume anakuwa kama nguzo. Usionyeshe kuwa unajua zaidi kumliko ama una akili nyingi kumliko nk. Mbinu hii utamfanya akuone uko chini yake hivyo itakuwa rahisi kwake kukutongoza haraka.
#8 Mfanye spesho

Kama umejua umuhimu wa jinsi ya kumtongoza mwanaume, basi unajua umuhimu wa kumfanya yule unayemtongoza kujihisi speshio. Hapa huhitajiki kufanya chochote kipya, lakini lazima ukumbuke kuwa ukimfanya mwanaume kujifeel spesho, basi atavutiwa na atatamani kuwa na wewe.
Mfanye ajihisi spesho kwa kumtabasamia na kumuonyesha uso wa furaha. Msifie na uwe unatumia miguso wakati mnaongea. Hapa mwanaume huyu atataka kukutongoza kwa kuwa atakuona mwanamke tofauti kati ya wote

JINSI YA KUMKWEPA MWANAUME USIYE MPENDA NA ANAKUSUMBUA


Ishawahi kutokea kwa kila mwanamke ya kuwa kuna mwanaume mmoja ambaye anakutongoza ilhali unamchukia. Halafu mbaya zaidi ni kuwa mwanaume kama huyu haskii kabisa, kila ukijaribu kumkataa ndivyo anavyozidi kukuapproach.
Mara nyingi huwa inaanza hivi. Anakuapproach, anakutongoza halafu unamkubali kiasi cha kuwa unataka kumsoma akili yake. Baada ya kutoka out ama deti mara kadha ukakuja kugundua kuwa mwanaume kama huyu ana matatizo flani ambayo wewe binafsi hukuyapenda. Unajaribu kumkaa mbali lakini unamwona hataki. Unajaribu kila mbinu za kumtenga lakini yeye anasistiza.
Well. Wakati ni sasa wa kumwambia akuache kabisa kwa kutumia mbinu zifuatazo.
#1 Mwambie kwa upole kuwa hujiskii na yeye. Kama umegundua kuwa huyu mwanaume anayekuvizia ana matatizo lakini si tishio kwako, basi kumwambia ukweli ndio muhimu. Mwambie kuwa yeye ni mwanaume mzuri *hata kama sivyo*, lakini huko interested na yeye ndani ya moyo wako.
Akiuliza ni kwanini, mwonyeshe utofauti wenu. Unaweza kumwambia kuwa wewe ni mtu unayependa kuparty ilhali yeye ni mtu anayependa utulivu, ama unaweza kumwambia wewe ana uraibu flani ilhali wewe huna. Anaweza kuuliza iwapo munaweza kuwa marafiki, lakini iwapo unataka pia kuhepa unaweza kumwambia kuwa itakuwa vibaya kuwa marafiki kwa kuwa tayari mumeanza vibaya.
#2 Usijibu simu wala texts zake. Wakati mwanaume kama huyu amezuzulika na wewe, ama pia kuna wanawake wengine anaowaaproach, si lazima umpe maelezo kama ya hapo juu, bali unaweza kumwondoa polepole kwa maisha yako.
Kitu cha kwanza cha kufanya ni kuhakikisha kuwa haujibu simu zake wala kumtext hata kama umeboeka. Ukiwa unajibu simu zake basi utakuwa unampa matumaini kuwa uko interested na yeye. Ukimzima baada ya muda flani bila shaka atakuja kuelewa – ama unaweza tu kumpa ile hotuba ya kuwa wewe na yeye hamuingiliani.
#3 Mblock katika mitandao ya kijamii. Kando na kuwa hujibu sms zake wala simu zake, unapaswa kublock contacts zake zote katika mitandao ya kijamii ambazo unazijua. Kama unahisi kumblock utakuwa umevuka mipaka yakuonekana mbaya, na unaona si tishio kwako, basi angalau fanya kumdelete.
Kumuweka katika contacts zako kutampa hisia ya kuwa nyinyi wawili mna connection aina flani, aidha ya kibinafsi au kikazi, hivyo kuona kuwa ni haki yake kuwasiliana na wewe.
#4 Badilisha namba yako ya simu. Najua utahisi vibaya kubadilisha namba yako ya simu, lakini kama mwanaume atakuwa anaendelea kukupigia simu na kukutext mara kadhaa kwa siku, ilhali tayari amejua kuwa huko interested na yeye, basi itakuwa jambo la kufanya ili kujiokoa.
Pindi utakapojeuza namba yako, usijaribu kuiweka sehemu yeyote online, kwa sababu huyu mwanaume ama rafiki yake anaweza kuiona. Pia hakikisha kuwa marafiki zako hawapeani namba yako ya simu kwa yeyote.
#5 Jifanyishe kuwa una boyfriend. Wakati mwingine huyu nuksi akifikiria kuwa una boyfriend, atatulia na kuachana na wewe kabisa na kufuata mwanamke mwingine. Hii ni kweli haswa iwapo huyu nuksi ni mwanaume mwoga ama mwenye haya.
Ukianza kumwambia huyu mwanaume nuksi kuwa wewe hauko single, basi mwisho ataenda zake. Kama hatareact na hizi habari mpya, unaweza kutafuta mwanaume mwenye miraba halafu umfanye kuwa ni boyfriend wako wakati unamwona yuko karibu.
#6 Tafuta mbwa. Hili si jambo la haja kwa kila mmoja, lakini kama una kazi na uko na nyumba yako, na unasumbuliwa na wanaume aina kama hii, basi inakufaa ufuge mbwa. Ukiwa na mbwa mkubwa halafu mwanaume kama huyu afikirie kukutembelea basi atajipanga coz mbwa katika nyumba yako atakuwa akikulinda wakati wote.
#7 Safiri na marafiki zako.  Kama unaona mwanaume huyu nuksi anayatishia maisha yako, basi si vyema kusafiri ukiwa pekeako. Badala ya kusafiri pekeako, tembea mjini ukiwa na rafiki yako ama tembea ukiwa katika kikundi na rafiki zako.
Ili mradi usitembee pekeako wakati wote basi utakuwa umeponea kusumbuliwa na mwanaume aina kama hii.
#8 Tafuta barabara mbadala za kwenda shuleni, kazini nk. Kwa wale ambao wamezoea kutembea, ile barabara ya kawaida unayoitumia kutembea shuleni, kazini, ama katika shughli zako za kawaida zinaweza kukuelekeza moja kwa moja hadi kwa huyu mwanaume nuksi sehemu anakoishi, kazini ama sehemu ambazo anatembelea mara kwa mara. Kama anaweza kuwa na nafasi, anaweza hata kujiweka barabarani maksudi ili tu apatane na wewe.
#9 Vaa kofia na miwani. Kuvaa miwani na kofia wakati mwingine husaidia kujificha kutokana na mwanaume aina kama hii. Mwanaume huyu hawezi kukusumbua iwapo hataweza kukutambua wewe. So ni muhimu kuvalia hivi iwapo unaenda sehemu ambazo unaweza kutana na wanaume kama hawa.
#10 Mjulishe mwajiri wako na wenzako. Kama haijubi simu zake, wala kumtext ama online, kuna uwezekano mkubwa jamaa kama huyu kuweza kwenda katika sehemu  yako ya kazi. Kama unashuku kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kwake kuja sehemu unayofanya kazi basi ni bora zaidi kumjuliza mwajiri wako na wenzako ili wakati ambapo atajaribu kuja sehemu unayofanya kazi ataambiwa aende zake.
Bydaway, kama unadhania mwanaume kama huyu anayekusumbua hajui sehemu unayofanya kazi basi unakosea, wanaume kwa kawaida wana taaluma ya juu ikiha kwa kutafuta kile wanachotaka.
#11 Tafuta mwanaume mwengine akusaidie ili amalize mawasiliano yenu. Tofauti na wanawake, wanaume huwa wanareact haraka iwapo utawaomba usaidizi kama unasumbuliwa na mwanaume mwingine. Kama huyu mwanaume anakusumbua bila kukuacha basi unaweza kumwambia mwanaume unayemwamini haswa kama ni ndugu yako, mtu unayehusiana naye ama rafiki yako wa kiume.
Wakati wa kuchagua mwanaume kama huyu hakikisha kuwa ana uwezo mkubwa wa kushawishi ili aweze kumwambia huyu mwanaume msumbufu aachane na wewe kabisa. Hakikisha pia huyu mwanaume ana nguvu na uwezo wa kukabiliana na mwanaume kama huyu.
#12 Wahusishe polisi. Hii ndio suluhisho la mwisho kabisa na linapaswa kutumika katika hali zile nzito kabisa haswa kama umeona kuwa mwanaume kama huyu amekuwa tishio kwako na umejaribu kila hatua umeshindwa. Kama umeamua kuwapigia simu polisi jipange tayari kutoa ushahidi wote ambao utahitajika kama vile jumbe alizokuwa akikutumia.
So haya ndio mambo ambayo yanaweza kutumiwa kuhakikisha kuwa unakabiliana na mwanaume yeyote 

JE WAJUA


Mwanamke akiwa katika hot-period anakua anavutia zaidi kuliko wakati mwingine wowote

FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI ASUBUHI


1—Wanasayansi wamekuwa wakifanya tafiti mbalimbali zinazohusu maswala ya Mapenzi na wengi wao wanagundua kuwa kufanya ngono ama mapenzi si tu kujihisi au kujisikia vizuri. Pia inaweza kuwa nzuri kwa ajili ya Afya zenu. Hapa ni kile ambacho maisha ya kimapenzi kiafya yanaweza kufanya kwa ajili yenu au yako. Soma zaidi ufahamu faida hizi za kushangaza za kufanya mapenzi asubuhi.   

FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI ASUBUHI   

- Husaidia kuweka mfumo wa kinga yako vizuri   
-Inaongeza hamu ya kufanya mapenzi zaidi/ boosts libido   
-huimarisha cha kibofu cha mkojo kwa Wanawake.   
-Hupunguza shinikizo la damu.   
-Huhesabika kama moja ya Zoezi   
-hupunguza hatari ya kupata shambulio la moyo.   
-Hupunguza maumivu ya mwili   
-Inaweza kupunguza uwezekano wa kupata kansa ya tezi dume / Prostate Cancer   
-Inaboresha hali ya usingizi   
-Hupunguza Msongo wa Mawazo kwa aslimia kubwa

BIKRA YA MWANAMKE NI NINI?


Bikira ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi (penetrative sex) na si lazima awe mwanamke ambaye atatoa damu siku ya kwanza ya tendo la ndoa.
Ni vizuri kufahamu kwamba asilimia 20% - 25% ya mabikira huwa hawatoi damu yoyote kutokana na muundo wa kizinda (hymen)
Wakati mwingine kizinda huondolewa kwa kufanya mazoezi mazito, kupanda baiskeli, kukwea miti na ifahamike kwamba kufanya mazoezi hakuwezi kuondoa ubikira.
Kizinda ni nini?
Kizinda ni ngozi nyembamba
sana (membrane) ambayo huziba entrance kwenye uke.
Ina matundu ambayo hutofautiana kwa size ambapo damu ya mwezi kwa mwanamke huweza kupita kila mwezi.

Kuna aina Nne za vizinda
1. Kizinda cha kawaida (normal hymen),
2. Kizinda kisicho na tundu lolote [huhitaji surgery wakati mwingine] (Imperforated hymen),
3. Kizinda chenye tundu dogo sana (Microperforated hymen)
4. Kizinda chenye tishu za ziada na kufanya matundu mawili (septate Hymen)

Bado haijajulikana kazi ya kizinda ni nini, kwani baada ya sex mara ya kwanza huchanika na kuachana na kubaki historia.

Kizinda kiligunduliwa mwaka 1544 na Daktari wa kiarabu Ibn Sinna hata hivyo kufika karne ya 16 watu walikuwa wana imani potofu kwamba kizinda ni ugonjwa na dawa yake ilikuwa ni sex inayofuatana na mwanamke kuolewa.

Kutokuwa na kizinda au kutokutoa damu siku ya kwanza ya sex si evidence kwamba mwanamke si bikira wapo wanazaliwa hawana wengine nyembamba sana na wengine huweza kutoka kutokana na aina ya mazoezi au accidentally.

KWANINI HAITAKIWI KUOA MWANAMKE ALIEKUZIDI UMRI


Habari za muda huu mdau na mfuatiliaji wa makala mbalimbali zinazokujia kupitia katika blog yetu, naomba nichukue nafasi hii kukuarika rasmi mahala hapa ambapo siku ya leo tutangalia athari za kuwa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri.
Katika jamii zetu za kiafrika suala la mwanaume kumzidi umri  mwanamke katika sekta ya mahusiano limekuwa ni suala la kawaida sana, lakini pindi inavyotokea kinyume chake watu wengi hubaki vinywa wazi huku watu wengi wakishangaa kuona mwanamke mwenye umri mkubwa akiolewa ni mwanaume mwenye umri mdogo.
Jambo hili  huendelea kuleta gumzo sana, hasa pale linapotokea katika jamii yetu, hii ni kwa sababu inaaminika ya kuwa mwanaume ndio nguzo ya mahusiano hivyo mwanaume anatakiwa kumzidi umri mkewe, inapotokea kinyume chake huwa kuna athari kubwa katika mahusiano hayo.
Zifuatazo ndizo athari za kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye amekuzidi umri:
1. Kupelekeshwa. 
Unapokuwa na mahusiano na msichana ambaye amekuzidi umri basi jiandae kisaikolojia kupelekeshwa na msichana huyo, sikutishi ila nakwambia ukweli lengo la kuingia kwenye mahusiano ni kupata amani ya moyo,  hivyo unapoingia katika mahusiano ya kimapenzi na msichana aliyekuzidi umri ni lazima utakosa kitu hiki kwa sababu ukweli ambao upo wazi ni kwamba msichana anapokuzidi umri basi yeye ndiye anayegeuka kuwa kichwa cha mahusiano. Hivvyo kitu chochote asemacho aidha ni kizuri au kibaya anategemea utakifanya kitu hicho.
2. Kutokuwa na maaumuzi yako. 
Unapoingia katika mahusiano na msichana ambaye amekuzidi umri basi fahamu fika yeye ndiye ambaye atakuwa ni kiongozi wa maamuzi yako, Kama unataka kufanya jambo lolote la msingi ni kwamba huwezi kukurupuka na kuanza kufanya jambo hilo pasipo kumshikirikisha huyo b. mkubwa katika suala la kutoa maumuzi.
Hayo ni baadhi ya matokeo machache kati ya mengi ambayo utayapata pindi utapokuwa na mahusiano na msichana aliyekuzidi umri.

NGUVU ZA KIUME


Ili ndoa yoyote iweze kudumu lazima pawepo amani,makubaliano na kuridhishana katika tendo la ndoa,zifuatazo ni njia rahisi za kuongeza nguvu za kiume kwa wanaume
1-MAZOEZI
Kufanya mazoezi mepesi kama kupiga pushup na kukimbia asubuh na jion husaidia kuongezea nguvu za kiume
2-MAJI
Unywaji wa maji mengi husaidia kuufanya mzunguko wa damu kuwa wa haraka na tunajua ili uume uweze kusimama vizuri lazima damu izunguke vizuri
3-PUMZIKO
mwanaume inatakiwa alale zaidi ya masaa 8 kwa siku ili kurudisha cell zinazokoa zimechoka na kufa hasa zilizopo katika uume
4-CHAKULA
Vyakula venye nguvu kama karanga,mihogo na ugali wa dona husaidia sana,vyakula kama chips vina high fat contect ambayo sio nzur kwenye mishipa ya damu pia mishipa ya uuume

Saturday, June 15, 2019

UKIONA HIVI NI BORA UMUACHE AENDE

MWACHE AENDE......
Ni kweli unampenda sana unamjari unamthamini sana, unajitahidi sana kumwonyesha upendo, ni kweli unataka kumwoa kabisa yaani. ebu fikria kwanza:-
Kila mkikosana ata kama kosa ni lake wewe ndo wakuomba msamaha wewe ndo wakulia lia mwenzio anaendelea na maisha yake utazani hakijatokea kitu.
Ukweli unaujua mwenyewe jinsi unavompenda sana kuliko ata unavompenda Mungu, na unafahamu jinsi anavokudharau anakuchukuliaga poa tu hata usipomtafta ww basi hamtawasiliana siku nzma yaani.
Kiugomvi kidogo tu anakwambia muachane ata kama kakukosea yeye duh acha hizo utavumilia mpaka lini
Ni kweli anakusaidia vitu vingi sana ni kweli ye ni mzuri sana but ni kweli huwezi kumpata kama yeye ila unaeza kumpata mzuri na bora kuliko yeye acha hizo jikubali mwache aende, we mwenyewe ukiwaza kwa kina unaona kabisa jinsi unavojipendekezaga kwake usikute unaonaga sms za wapenzi wake au hapokeagi simu akiwa na ww au ukitaka kushika simu yake anakua mkali simba hafiki yaani
Anakufanyia visa vingi sana kuna mda hadi unamfumania yaani but umekazana kuvumilia tu mmh ujinga huo ebu fikiria kama huo mda na hizo nguvu ungewekeza kwa BWANA YESU KRISTO si ungekua hodari kiroho na kimwili.
Mungu anakupenda sana, thamani yako kwa Mungu ni kubwa mnoo, nkwambie kitu wewe ni mzuri sana kizuri zaidi upo vizuri na Mungu sa unaogopa nini kama ni chaguo lako mwache aende kuna siku atachapwa na Mungu atarudi mwenyewe kirainiiiiii.
Usikubali kufanya mapenzi na mpenzi au mchumba wako ata mkiachana hautaumia sana, wahanga wengi ni wadada dah poleni sana jamani, Mwache aende utajikuta unapoteza bahati zako bure tu usikute kuna mkaka/mdada anakupenda hatari but anaogopa kukufata coz anajua una mchumba duh
Wewe ni mme bora wewe ni mke bora wewe ni mzuri hatari, uliumbwa na Mungu tena kwa mfano wake kabisa yani dah usilie futa machozi amka mwache aende maisha yaendelee, unajua nini
MARKO 12:30 nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.......

Friday, June 14, 2019

JE WAJUA....!!?

Mwanamke hupenda zaidi anachokisikia kuliko anachokiona na ndio maana wanawake wengi ni rahisi sana kudanganyika,Mwanamke anaweza akamuacha boyfriend wake na akaenda kwa mwanaume mwingine kisa tu kaahidiwa vitu fulani vya thamani.MWANAUME INAKUPASA UISHI KWA AKILI SANA NA MKE WAKO IKIWEMO HATA KUMPA AHADI ZA UONGO ILI ARIDHIKE

JE UTAJUAJE KAMA UNAPENDWA.....?

Utajuaje kama unapendwa?
Zifuatazo ni ishara za mwanamme au mwanamke anayekupenda hata kama hajakwambia
1. Anakua na aibuaibu unapokua na yeye
2. Anakuitaita bila sababu
3. Anakuangalia machoni sana
4. Anakua anafanya mambo tofauti unapokuepo na usipokuwepo
5. Anafurahi sana unapomsifia
6. Anakua kama anapata kigugumizi unapokua unaongea nae hasa mkiwa wenyewe
7. Anakusaidia mambo yako. mfano kazi
8. Anakumbuka siku zako za muhimu mfano Tarehe ya kuzaliwa.
9. Anakufanyia mambo tofauti na anavyowafanyia wengine.
10. Anabadilika muonekano wa nje. Mfano anaanza kujipenda, kuvaa vizuri

UKIONA HIVI JUA KABISA MWANAMKE AMEANZA KUKUZIMIA

Anaongeza ukaribu

Ukiona anapenda kuwa karbu na wewe na kuandamana na wewe na anajisikia ufahari kuwa na wewe jua anaelekea kukukubali. Ukiona anajishauri ujue labda anaona hamlingani kuwa pamoja.

Anaanza kukuchunguza

Ukiona haachi kukuuliza maswali binafsi na kutaka kufahamu unaishije ikiwa na pamoja na kufahamu mambo unayoyapenda mfano unapenda vyakula vipi ujue anapenda kukujua zaidi ili akupendeze.

Anaulizia ndugu zako

Ukiona anapenda kukuulizia habari za ndugu zako na kutaka kuwafahamu basi ujue tayari amekukubali na anaanza maandalizi ya kujenga mahusiano nao.

Anakwambia mambo yake

Ukiona hupenda kukupasha habari zake binafsi na za ndugu zake wakiwemo marafiki zake basi ujue amekukubali na anakuaandaa kuwa kama mwenzake.

Anaonyesha kwa matendo

Kwa mfano anajishikashika maeneo ambayo yanautangaza uzuri wake kama usoni, nywele zake au hata kurekebisha nguo zake jua anajaribu kuwa mtanashati mbele yako ili akuvutie. Katika mazingira hayo dalili zote zipo kuwa kuna uwezekano mkubwa tayari anakukubali.