Saturday, June 29, 2019

MADHARA YA PUNYETO KWA WANAUME NA WANAWAKE


Punyeto ni nini
Punyeto ni kitendo cha kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto;
1. Inaharibu kizazi
2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara
3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo
4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu
5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto
6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.
7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.
8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.
9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara
10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Hay ni baadhi ya madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume
1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.
2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.
3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)
4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara
5. Huleta uchomvu sugu na kwa haraka zaidi, mara nyingi utahitaji kulala usingizi hata nyakati za mchana
6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

No comments:

Post a Comment